MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Ni jambo ambalo limenifanya nifurahie sana hii sikukuu ya Eid. Huko X (Twitter) kuna vita kali baina ya makada wa chama cha Mbowe. It's Fredy Justine against Ntobi & Martin Maranja. Vita ni kali sana. Ntobi na MMM wanaporomosha matusi mazito kwa kada mwenzao Fred ambapo Fred nae hajakaa kinyonge anawalipua maovu yao ya nyuma ya pazia ikiwemo kuhongwa magari.
Chanzo cha yote ni Ntobi na MMM kupinga shetani Mange kuanza kumshambulia Rais Dr Samia Suluhu. Wenyewe wanadai Mange ni kigeugeu apuuzwe. Fred kawapinga wenzake kwa kudai shetani Mange aachwe ili wapate sapoti yake kwenye kumpinga Rais kipenzi cha watanzania. Wakati hayo yanatokea ghafla akajitokeza Nabii feki Lema aliye uhamishoni Canada kukwepa madeni ya benki na kumtaka Fred afute post yake. Fred kamjibu kijasiri kuwa HAFUTI.
Mimi kama mwanaCCM ninafurahishwa sana kwa hawa wafuasi wa Mbowe kutoelewana. Hao wote pamoja na Mange ni watu wapuuzi wasiopaswa kupata sapoti ya mtanzania yeyote. Ugomvi wao unaiweka CHADEMA uchi na kuthibitisha kuwa bado hakijawa tayari kuongoza nchi. Kama wao wenyewe hawaelewani hawataweza kuwaongoza watanzania 65m. Hata kama kuna ugomvi walipaswa kumalizana ndani kwa ndani kupitia vikao rasmi vya chama badala ya kutoka nje na kugombana.
View: https://twitter.com/frediejustine/status/1777724830889971765?t=5EAd9uE0E_jcu7jyWZDVDw&s=19
Chanzo cha yote ni Ntobi na MMM kupinga shetani Mange kuanza kumshambulia Rais Dr Samia Suluhu. Wenyewe wanadai Mange ni kigeugeu apuuzwe. Fred kawapinga wenzake kwa kudai shetani Mange aachwe ili wapate sapoti yake kwenye kumpinga Rais kipenzi cha watanzania. Wakati hayo yanatokea ghafla akajitokeza Nabii feki Lema aliye uhamishoni Canada kukwepa madeni ya benki na kumtaka Fred afute post yake. Fred kamjibu kijasiri kuwa HAFUTI.
Mimi kama mwanaCCM ninafurahishwa sana kwa hawa wafuasi wa Mbowe kutoelewana. Hao wote pamoja na Mange ni watu wapuuzi wasiopaswa kupata sapoti ya mtanzania yeyote. Ugomvi wao unaiweka CHADEMA uchi na kuthibitisha kuwa bado hakijawa tayari kuongoza nchi. Kama wao wenyewe hawaelewani hawataweza kuwaongoza watanzania 65m. Hata kama kuna ugomvi walipaswa kumalizana ndani kwa ndani kupitia vikao rasmi vya chama badala ya kutoka nje na kugombana.
View: https://twitter.com/frediejustine/status/1777724830889971765?t=5EAd9uE0E_jcu7jyWZDVDw&s=19