Ninahisi nimebugi, nataka tuandikishiane nimpe milioni 5 ya msingi. Anipe mwanangu atakapofikisha umri

Ninahisi nimebugi, nataka tuandikishiane nimpe milioni 5 ya msingi. Anipe mwanangu atakapofikisha umri

Kwa hiyo umestushwa na mahali au ?

Mbona hueleweki mkuu, kama una uwezo wa m5 za kumpa why usitoe hata 1m ya mahali ukae nae tu
 
Kuna jamaa aliambiwa mahali m3 na nusu. Halafu hana kipato kikubwa lakini katoa laki 6 imeisha usiogope wanataja tu sio lazima ulipe zote
Nazidi pata mwangaza ila mimi nilitaka kumnawa siku hio hio ambayo yeye ndio anaona inafaa kama alivypanga ndio nitoe hio statement na nimpe pesa akafie mbele imagine iko hivi,.
Baba mkubwa anasema yeye awekewe laki tatu kwa bahasha yake, Mama laki tatu na vikorokoro kibao, kaka nae anatak laki 2 , Mzee anatamka kua lazima apate ngombe wawili wa kisasa wa maziwa na mengine mengi, ninaona bora nikae single sio kwa uoaji huu aisee
 
Bro pole sana
For sure huyo mwanamke mwambie unapostpond kutoa mahali Hadi Hali ya mama yako itakapotengemaa alafu angalia jibu atakalo kuambia akinuna tu fukiza kabisa onsport usisubiri chochote hata akiomba msamaha timua huyo Kama tu hujamuona hajari kuhusu Hali ya mama yako for sure siku ukiugua baada ya kuoa utafia ndani.
Alafu hiyo mimba sio yako. Usije kusema hatujakuambia
 
Mtoa mada,una ujinga na upuuzi mwingi!utakufa mapema!
 
Hapa ninaguswa zaidi kwa mama, kwani mama anasumbuliwa na nini. Nijibu hata kwa PM. By the way uoaji wa sasa tunaufanyia haraka sana kiasi mwisho wake tunakuja kujuta baadae. Pole in advance.
 
Hapa ninaguswa zaidi kwa mama, kwani mama anasumbuliwa na nini. Nijibu hata kwa PM. By the way uoaji wa sasa tunaufanyia haraka sana kiasi mwisho wake tunakuja kujuta baadae. Pole in advance.
Asante nitakujuza pm kiongozi
 
Kuhusu kuuguza hakuna shida kiongozi huko wala hitajio sio pesa Huko hitajio ni Mwenyezi Mungu amponye tumepambana sana kwa miaka minne alikua anapata unafuu ila now naona hali imechange kabisa.

Pamoja na hilo bado wewe na huyo mpenzi/mchumba wako mnatakiwa focus yenu yote iwe kwa mama anayeumwa mpaka atakapopata ahueni au Mola akimpenda ndiyo mrudi kwenye hayo mengine, kwani mna haraka gani?? Kama alivyodokeza mdau hapo juu hiyo haraka haraka ya huyo demu wako yeweza kuwa anataka kukuingiza kingi kabla hujaujua ukweli.
 
Nina sababu ya msingi na ya usiri kidogo kujibebisha ili nipate mtoto huyu nayemtarajia , kuhusu hilo sina namna ndio maana najibebisha, ila sasa linapokuja suala la kutaja kupelekwa pupa hivi ndio ninapochoka laiti ningeweka picha ya mama angu mzazi mkaona hapa hali aliokua nayo machozi yangewatoka, ila mwenzangu kaonesha mstuko mdogo sana sana kuhusu ugonjwa wa mama mkwe wake, Pesa sio tatizo nataka nijilipue kwa dizain hio akafie mbele nitachukua mwanangu na ninatka hio hela nikawakabidhi wazee wake na yeye akiwepo ili iwe funzo, nimemleta mkoa now miez minne, namhudumia, natuma ada ya mtoto mia mbili kila mwezi (200k) ikijumuisha na usafiri na mahitaji mengine, sasa limekuja suala hili baada ya kuona kahela flani kametiki kanasubir kuingia kwa akaunti tu , Nimeanza letewa orodha ndefu namna hii?.
Nitakapofanya haya mbele ya wazazi wake watapata fundisho pengine.
Kwani una shida ya uzazi? Una sababu ya msingi na usiri sana pole sana kwaivo mtoto awe wako, awe wa mwenzio iyo haina shida! Lazima uteseke kama alishajua shida ako ni mtoto bila kujali ni wako au la
 
Mkuu mpe million moja akalee mimba then akijifungua utalea mtoto million 5 ni nyingi mno kumbuka mama ni mgonjwa
 
Pamoja na hilo bado wewe na huyo mpenzi/mchumba wako mnatakiwa focus yenu yote iwe kwa mama anayeumwa mpaka atakapopata ahueni au Mola akimpenda ndiyo mrudi kwenye hayo mengine, kwani mna haraka gani?? Kama alivyodokeza mdau hapo juu hiyo haraka haraka ya huyo demu wako yeweza kuwa anataka kukuingiza kingi kabla hujaujua ukweli.
Nina sababu ya msingi na ya usiri kidogo kujibebisha ili nipate mtoto huyu nayemtarajia , kuhusu hilo sina namna ndio maana najibebisha, ila sasa linapokuja suala la kutaja kupelekwa pupa hivi ndio ninapochoka laiti ningeweka picha ya mama angu mzazi mkaona hapa hali aliokua nayo machozi yangewatoka, ila mwenzangu kaonesha mstuko mdogo sana sana kuhusu ugonjwa wa mama mkwe wake, Pesa sio tatizo nataka nijilipue kwa dizain hio akafie mbele nitachukua mwanangu na ninatka hio hela nikawakabidhi wazee wake na yeye akiwepo ili iwe funzo, nimemleta mkoa now miez minne, namhudumia, natuma ada ya mtoto mia mbili kila mwezi (200k) ikijumuisha na usafiri na mahitaji mengine, sasa limekuja suala hili baada ya kuona kahela flani kametiki kanasubir kuingia kwa akaunti tu , Nimeanza letewa orodha ndefu namna hii?.
Nitakapofanya haya mbele ya wazazi wake watapata fundisho pengine.
IROKOS
 
Pamoja na hilo bado wewe na huyo mpenzi/mchumba wako mnatakiwa focus yenu yote iwe kwa mama anayeumwa mpaka atakapopata ahueni au Mola akimpenda ndiyo mrudi kwenye hayo mengine, kwani mna haraka gani?? Kama alivyodokeza mdau hapo juu hiyo haraka haraka ya huyo demu wako yeweza kuwa anataka kukuingiza kingi kabla hujaujua ukweli.
Nina sababu ya msingi na ya usiri kidogo kujibebisha ili nipate mtoto huyu nayemtarajia , kuhusu hilo sina namna ndio maana najibebisha, ila sasa linapokuja suala la kutaja kupelekwa pupa hivi ndio ninapochoka laiti ningeweka picha ya mama angu mzazi mkaona hapa hali aliokua nayo machozi yangewatoka, ila mwenzangu kaonesha mstuko mdogo sana sana kuhusu ugonjwa wa mama mkwe wake, Pesa sio tatizo nataka nijilipue kwa dizain hio akafie mbele nitachukua mwanangu na ninatka hio hela nikawakabidhi wazee wake na yeye akiwepo ili iwe funzo, nimemleta mkoa now miez minne, namhudumia, natuma ada ya mtoto mia mbili kila mwezi (200k) ikijumuisha na usafiri na mahitaji mengine, sasa limekuja suala hili baada ya kuona kahela flani kametiki kanasubir kuingia kwa akaunti tu , Nimeanza letewa orodha ndefu namna hii?.
Nitakapofanya haya mbele ya wazazi wake watapata fundisho pengine.
IROKOS hata yeye ana araka ya kupata mtoto haijalishi hahaha
 
Mdogo wetu hapo huna mwanamke,kama wadau wanavyosema inawezekana hata huo ujauzito sio wako.Ushauri fanya hivi simamisha kila kitu kwa sasa ikiwemo kutoa mahari na kumpa hio m4 unayotaka kumpa akijifungua jiridhishe kwanza huyo ni mtoto wako?ukishaji ridhisha ni mwanao mpe mtaji wa kumhudumia mtoto vitu vidogo vidogo.Hio familia sio na usikute hao watu wametengenezwa na huyo mwanamme kukutoa fedha.
Ajiridhishe mtoto ni wake na akati anakwambia ana sababu na siri inayosababisha kutaka kupata mtoto?? We huoni yeye hajalishi mtoto awe wake au wa mhuni mmoja anachotaka ni mtoto!
 
Habari za asubuhi, wanajamiiforum.
Niko hapa kuomba msaada kwa haya yanayonisibu. Mimi ni kijana wa umri wa miaka30 kamili. Ni mwajiriwa serikalini. Niko hapa kuwataka msaada wa kimawazo kwa hali ninayopitia ambapo naona kama kuna kitu hakiko sawa kwangu.

Niliwahi kuishi kwenye ndoa kwa takribani miaka miwili ambapo hatma ya ndoa ilikua kufiwa kwa mwenza wangu hivyo nikabaki single. Hii imetokea last year 2019 March. Baada ya kukaa kwa takribani miezi 9, baada ya kukutwa na hili, niliamua kutafuta mwenza mwingine ambaye tungesongesha maisha ndipo nakutana na changamoto hizi.

Nilipata binti wa kijaluo toka ujaluoni ambaye ni mhitimu wa elimu ngazi ya degree ila hana ajira. Binti niliempata nimemkuta akiwa na mtoto mmoja wa miaka tisa. Kiufupi kabla sijapata uhakika wa tabia za binti vizuri nilijikuta naingia kwenye mtego baada ya binti huyu kupata ujauzito.

Licha ya kuwa sikujipanga ila nilifurahi sana kwani sijabahatika kupata mtoto na akaishi. (Marehemu mke wangu amefariki akiwa na kichanga changu pia). Sasa baada ya kuamua kulea ule ujauzito ambao mpka sasa tunategemea kupata kichanga next year January, nikajikuta napewa jukumu la kumlea yule mtoto niliemkuta kielimu(kulipia ada na mahitaji mengine).

Baada ya muda binti akaja kuishi kwangu nami nikaliafiki hilo ili tuzidi kufanya maisha nikiwa na imani kuwa nitamrasimisha soon tu baada ya kujifungua mtoto.

Leo ni wiki sasa kuna mambo yamejitokeza, binti aliniambia niwe na uharaka wa kumtolea mahali kabla Desemba. Baada ya kuambiwa kuhusu hilo niliamua kudodosa uhalisia wa kiasi cha pesa ambacho ningetakiwa kutoa kama mahari, nikawa nimejibiwa. Ila kuanzia juzi kuna kitu nimekinotice, kuanzia baba, mama, baba mkubwa na wengine wengi kila mmoja amekua akitaja kiasi cha pesa au kitu anachokihitaji ili kiwe nimekiambatanisha kwenye hio mahari, baada ya kupiga mahesabu naona kabisa inazidi 2m na hapo hapo majukumu mengine yananikabili. (Nauguza mama angu mzazi ambaye yuko hoi kitandani).

Baada ya kuliona hili binti haoneshwi kustushwa na taarifa ya kuuguliwa kwangu pengine tukasogeza mbele hii shughuli yeye anaishia kusema pole tu huku mengine yakiendelea(means hizo taratibu zake za kutaka mwisho wa mwezi huu niende kwao).
Kuna kitu nimegundua kuwa nisipokua makini jamii yangu itanishangaa endapo nitaenda kutoa mahali na wakati tuna mgonjwa akiwa hoi.

Nayoyafikiria kichwani mwangu ni haya, Nimekuwa mtu wa kupoteza muda wangu na pesa zangu kujaribu mahusiano ambayo yatakua yenye tija kwangu hivyo muda unaenda na sioni kupiga hatua za maendeleo yangu binafsi.

Nataka nichukue kiasi cha milioni 5 au 4 kisha nimkabidhi kwa maandishi mbele ya wanasheria kuwa ninampa kama msingi wake utaomsaidia baada ya kujifungua kufanya lolote ambalo, lakini pia kuandikisha kuwa nitalea ujauzito na mtoto baada ya kujifungua salama mpaka atakapofikia umri nimchukue niishi nae mwenyewe. Kiufupi naona nataka kupata mzigo mkubwa sana mbeleni nisipokua makini.

Naombeni msaada wenu wakuu ninahisi nimebugi kwa hili aisee nifanye nini kwa mazingira hayo.
[/QUOTE

Duniani Kuna Mama mojaa ila wanamkee wapo wengi .
Mama akifaa hakuna Mama mwinginee ila MKE alifaa unapataaa hata dozen aseee uyo MWANAMKEE yup kwako after money BROOO ikataee tuu iyo mimbaa kila mtuu ale chakee .Kama mtoto ATAKUWAA tuu uyo mwanamke hakupendii brooo.
 
Habari, Nimesoma maelezo yako na kuyaelewa ifuatavyo:-

Mosi, Ulifiwa na mke/mpenzi wako akiwa na kichanga tumboni hivyo kwa sasa huna mtoto lakini unahitaji mtoto kwa hali yoyote ukizingatia umri unakwenda na wenzio wenye umri kama wako wana watoto.

Pili, Uwezo wako kiuchumi siyo mbaya (uchumi wa kati) hivyo pesa ya mambo madogo madogo haikupigi chenga ikiwepo na ya kutuma nyumbani ambapo unauguza mama yako.

Tatu, Umepata mpenzi wa kijaluo mwenye mtoto wa umri wa miaka tisa (9) na yeye ana hamu ya kuolewa na kwa kuwa umeonyesha uwezo wa kumlea mwanae anataka umuoe haraka bila kujali unayoyapitia kwa sasa.

Ushauri wangu, Kwanza nakushukuru kwa kukiri kuwa umebugi (umekosea) Sasa unatakiwa kurekebisha makosa kwa kufanya ifuatavyo. Kuoa siyo jambo la kukurupuka, subiri kwanza ajifungue wakati mkiendelea kumuuguza mama yenu mzazi, pili tumia muda mrefu kumchunguza unayetaka kumuoa maana kwa mujibu wa maelezo yako (kama haumsingizii) inaonyesha hajali shida zako.

Wanawake wa Vyuoni (hasa vyuo vikuu) wanapitia mengi na wanajua mengi, sasa huyo wako amegundua una udhaifu hivyo anatumia udhaifu huo kukuendesha anavyotaka yeye. Simama kama Mwanaume unatakiwa kuwa mpangaji na muamuzi wa mwisho yeye abakie kuwa mshauri na asikupangie (au unaogopa degree yake!!😀😀).

Kwa maoni ya mmoja wa wadau ni kuwa Mwanamke mwenye mtoto (Single mother) aliyepata mtu wa kumlelea mwanae na kumuahidi ndoa si rahisi kumuacha na ukijaribu unaweza kulishwa hata vyura na mijusi na sisi wote ukatuona mmbwa. Hivyo hata ukitaka kumuacha ujipange usikurupuke anaweza kuuuwa au kukufanya kichaa.

Na ninavyohisi ameshawaambia ndugu zake kuhusu udhaifu wako hivyo nao wanakupelekesha tu. Kuhusu fedha hiyo milioni 5 usimpe maana atatumia itaisha kisha atakuja tena kwa ukali (maana ameshakuona poyoyo). KWA UJUMLA UNATAKIWA KUSIMAMA KIUME TENA KWA KUMAANISHA SIYO KUIGIZA.
 
Kwahiyo unafikiri ukimpa hiyi 5mil ndio hatakuomba tena pesa? Tena uikabidhi na wazazi wake wakiwepo! Watagawa itaisha hakuna biashara itakofanyika na watakugeuza saccos kupita mtoto atakaye zaliwa.
 
Back
Top Bottom