Ninahitaji brevis au mark x ya haraka, bajeti yangu 7m hadi 10m kutokana na model na ubora wake.

Ninahitaji brevis au mark x ya haraka, bajeti yangu 7m hadi 10m kutokana na model na ubora wake.

Don Buyoya

Member
Joined
Jun 13, 2024
Posts
78
Reaction score
261
Habarini wana jamvi,

Ninahitaji mark x au brevis kwa bajeti ya milion 7 hadi 10 kutokana na ubora na model itakayopatikana.

Tafadhali, mimi ni mzoefu wa magari hivyo ukija na deal ni bora uwe serious.

Ninauhitaji wa haraka kidogo kwa ajili ya matumizi binafsi.

PM ipo wazi au unaweza kunipa deal hapahapa.
 
Habarini wana jamvi,

Ninahitaji mark x au brevis kwa bajeti ya milion 7 hadi 10 kutokana na ubora na model itakayopatikana.

Tafadhali, mimi ni mzoefu wa magari hivyo ukija na deal ni bora uwe serious.

Ninauhitaji wa haraka kidogo kwa ajili ya matumizi binafsi.

PM ipo wazi au unaweza kunipa deal hapahapa.
Extrovert Njoo huku
 
Habarini wana jamvi,

Ninahitaji mark x au brevis kwa bajeti ya milion 7 hadi 10 kutokana na ubora na model itakayopatikana.

Tafadhali, mimi ni mzoefu wa magari hivyo ukija na deal ni bora uwe serious.

Ninauhitaji wa haraka kidogo kwa ajili ya matumizi binafsi.

PM ipo wazi au unaweza kunipa deal hapahapa.
Upo wapi?
 
So kuuzwa 5M haimaanishi zina shida ila ni zinahitaji high maintenance costs basi?
Brevis ni gari ya wataalam wa magari, 6cylinder yake inatoa power na speed mzr so fvck wese!

Huwezi kuwa mpenda magari au mtaalam wa magari halafu usipende speed au power

Kutana na brevis ilotunzwa vizuri utadata, shida bongo gari zinaingia kwa trend kama enzi zile za Altezza, na trend ikiisha utasikia sifa mbaya tu za hio gari. Mie nahitaji hii sababu mzigo ninaoenda kuipigisha unafaana nayo
 
Brevis ni gari ya wataalam wa magari, 6cylinder yake inatoa power na speed mzr so fvck wese!

Huwezi kuwa mpenda magari au mtaalam wa magari halafu usipende speed au power

Kutana na brevis ilotunzwa vizuri utadata, shida bongo gari zinaingia kwa trend kama enzi zile za Altezza, na trend ikiisha utasikia sifa mbaya tu za hio gari. Mie nahitaji hii sababu mzigo ninaoenda kuipigisha unafaana nayo
Sasa ninachohitaji kujua ni kwamba kwa 5M gari ambayo ilinunuliwa kwa karibia 20M kutoka Japan ni inakua haina shida ya kiufundi zaidi ya fuel consumption?
 
Mark x ml8.8 tuwasiliane 0783721337
Hii brevis ml 7 karibu tukuhudumie
IMG-20241020-WA0007.jpg
IMG-20241020-WA0020.jpg
 
Brevis ni gari ya wataalam wa magari, 6cylinder yake inatoa power na speed mzr so fvck wese!

Huwezi kuwa mpenda magari au mtaalam wa magari halafu usipende speed au power

Kutana na brevis ilotunzwa vizuri utadata, shida bongo gari zinaingia kwa trend kama enzi zile za Altezza, na trend ikiisha utasikia sifa mbaya tu za hio gari. Mie nahitaji hii sababu mzigo ninaoenda kuipigisha unafaana nayo
Ukiwa unaitaja Altezza ipe heshima yake, hiyo gari haijawah kutok ktk trend... pia inategemea unazungumzia Altezza ipi.

I gat Z Edition Rs200 MT 6 gears.. huwez fananisha na haya Ma Altezza mengine matakataka.
 
Back
Top Bottom