PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Hahahaha π€£ π€£ π π π π π π π π π πMil 10 unapata Brevis mbili.
Gari kali sana tatizo hatuna hela ya mafuta.Hahahaha π€£ π€£ π π π π π π π π π π
Kwa brevis anapata kabisa kama yupo dar aende mitaa ya Lumumba pale na dereva wake wa pili waondoke na brevis zao
Juzi nimekutana na brevis namna EFF Kwa kifupi bado watu wenye kujua magari wananunua brevis hasa Kwa watu wa Masafa marefu.Gari kali sana tatizo hatuna hela ya mafuta.
Km nilivoona Dualis EJuzi nimekutana na brevis namna EFF Kwa kifupi bado watu wenye kujua magari wananunua brevis hasa Kwa watu wa Masafa marefu.
Picha yake tafadhariUkiwa unaitaja Altezza ipe heshima yake, hiyo gari haijawah kutok ktk trend... pia inategemea unazungumzia Altezza ipi.
I gat Z Edition Rs200 MT 6 gears.. huwez fananisha na haya Ma Altezza mengine matakataka.
Issue si supply and demand boss, zipo nyingi sokoni japo sio zote ni nzima, bei lazima iwe chiniSasa ninachohitaji kujua ni kwamba kwa 5M gari ambayo ilinunuliwa kwa karibia 20M kutoka Japan ni inakua haina shida ya kiufundi zaidi ya fuel consumption?
Mzee utoe japan sasa hivi? Kutoa chuma japan uwe angalau umejipanga na 20mKununua gari kwa tz ni kubeti .ningekuwa Mimi ningetafuta gari japan inayofanana na hio hela Zipo nyingi tu .
Mfano hii hapa chini Mitsubishi Pajero miniView attachment 3130972
Zipo gari za mil 10 mfano hio niliyoweka hapoMzee utoe japan sasa hivi? Kutoa chuma japan uwe angalau umejipanga na 20m
Ushapigia ushuru na takataka nyingine zote?Zipo gari za mil 10 mfano hio niliyoweka hapo
YesUshapigia ushuru na takataka nyingine zote?