Ninahitaji Mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi

Ninahitaji Mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi

Kwenye mauzo tunatumia system ambayo ina manage kila kitu kuanzia stock hadi revenue (utaweza ku log in na kuangalia mwenendo wa biashara)

Kwa sasa hatuhitaji fulltime accountant biashara bado ipo kwenye growth stage hivyo tunaangalia namna ya kupunguza baadhi ya gharama huku tukiendelea kukua
TRA hawawasumbui na hiyo systm?
 
Heshima kwenu wakuu,

Ninahitaji mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi ni kiwanda kidogo kinachojihusisha na uzalishaji wa bidhaa za urembo Mafuta, sabuni, lotions, scrubs, serums nk

Biashara imesajiliwa na mamlaka zote na inajiendesha kihalali

Thamani ya biashara kwa sasa ni 20m
Ambayo inajumuisha machines na working capital

Uhai wa biashara ni miaka miwili na kuna feedback nzuri sana za wateja

Wateja
Tunatumia social media (duka mtandao)
Beauty botiques
Machinga (kkoo hawa tunawasambazia sabuni)
mawakala wa mikoani na nchi jirani (Congo,Malawi na Zambia)

Nahitaji mwekezaji awekeze 10m ambayo itaingia kwenye working capital na mwekezaji atapata 10% equity share huku mtaji wake ukiwa upo pale pale na endapo akaamua kusitisha mkataba atarudishiwa pesa yake kulingana na muda tutakao kubaliana

NB: 10% ni ownership, profit split ni annualy ambapo mwenye ownership ya 10% atapata 10% of the profit generated annualy,
Mwekezaji atakuwa mjumbe wa bodi pia kushiriki vikao vya bodi ya washauri tunavyofanya Kila baada ya miezi mitatu pia atapata access ya taarifa zote za biashara (sales,purchase,transactions and contracts) muda wowote atakaohitaji

Biashara ina team ya watu 6 na mawakala zaidi ya 20

Kwa ambae atakuwa interested

Karibu whatsapp 0769922210 nikutumie company profile,pitch deck,pitch video na financial reports za mwaka 2022-2023

Pia napokea appointment za meeting za ana kwa ana ofisini kwetu au zoom meeting kwa waliombali

Niwatakie mapumziko mema ya juma


Wee acha, thamani ya small industry is 20 mil, alafu mtu awekeze 10 mil, umpe shares 10%, umesomea uwizi huu wapi? Hesabu hata kidogo hujui au unajua umeamua kuficha, na uwekezaji sio eti mtu akiamua kutoa hela zake say 5 yrs from now na capital yenu imekuwa say to 200 mil eti utampa 10 mil yake, sio hivyo, utampa % shares ya value ya hiyo 200 mil ya wakati husika…

Hesabu yako inatakiwa kuwa hivi…

Total capital itakuwa 20 + 10 = 30 mil


So 10 mil shares out of 30 mil is 10 divide by 30

That is 33% of total shares….

So mtu akiwekeza 10 mil, atapata 33% of total shares

Sasa siku akimua kutoka katika biashara say 5 yrs na biashara imekuwa na kufikia 200 mil

Sasa utampa 33% x 200 = 66 mil

So akiweka leo mil 10 yake siku anatoka na miaka kadhaa mbele na biashara imekuwa to 200 mil, mwekezaji atapata 66 mil, sio 10 mil

Hivyo, uwekezaji usifanye kimazoea tu na bila kujua hesabu sahihi za uwekezaji, maana utadhulumu watu.
 
Wee acha, thamani ya small industry is 20 mil, alafu mtu awekeze 10 mil, umpe shares 10%, umesomea uwizi huu wapi? Hesabu hata kidogo hujui au unajua umeamua kuficha, na uwekezaji sio eti mtu akiamua kutoa hela zake say 5 yrs from now na capital yenu imekuwa say to 200 mil eti utampa 10 mil yake, sio hivyo, utampa % shares ya value ya hiyo 200 mil ya wakati husika…

Hesabu yako inatakiwa kuwa hivi…

Total capital itakuwa 20 + 10 = 30 mil


So 10 mil shares out of 30 mil is 10 divide by 30

That is 33% of total shares….

So mtu akiwekeza 10 mil, atapata 33% of total shares

Sasa siku akimua kutoka katika biashara say 5 yrs na biashara imekuwa na kufikia 200 mil

Sasa utampa 33% x 200 = 66 mil

So akiweka leo mil 10 yake siku anatoka na miaka kadhaa mbele na biashara imekuwa to 200 mil, mwekezaji atapata 66 mil, sio 10 mil

Hivyo, uwekezaji usifanye kimazoea tu na bila kujua hesabu sahihi za uwekezaji, maana utadhulumu watu.
Yaani nimeshageuka mwizi? Naomba futa hiyo kauli ili twende vizuri

Nipo tayari kujifunza lakin sio kwakuniita MWIZI
 
Mi sijui hesabu za biashara na uchumi.
Ila niliona kwasababu wewe umepambania brand basi hiyo 10% ya annual profit iwe kwa mwaka wa kwanza then m waka unaofuata ipande iwe 15% kama asipojitoa mwekezaji.
Lakini je mtaji ukikua hiyo milioni 10 yake na yeye si inakuwa kwa asilimia kadhaa?

Kama miaka ikienda na mwekezaji akabaki na 10 milioni si itakuwa chuma ulete?

Lakini pia security ya mwekezaji / bima ya uwekezaji wake.

Ikitokea mambo yamebuma kwenye biashara " mtamuachaje" mwekezaji na keshatia 10 milioni yake?
 
Mi sijui hesabu za biashara na uchumi.
Ila niliona kwasababu wewe umepambania brand basi hiyo 10% ua annual profit iwe kwa mwaka wa kwanza then waka unaofuata ipande iwe 15% kama asipojitoa mwekezaji.
Lakini je mtaji ukikua hiyo milioni 10 yake na yeye si inakuwa kwa asikimia kadhaa?

Kama miaka ikienda na mwekezaji akabaki na 10 milioni si itakuwa chuma ulete?
Mkataba ni kwa mwaka mmoja kwanza kwani ndio mara yangu ya kwanza kufanya hili jambo so bado nipo kwenye kujifunza pia na kupata uzoefu wa namna biashara zinavyoenda na ndio maana nikatoa uhakika wa hela yako kutokutetereka endapo biashara ikiyumba kwa kipindi Cha mkataba



Nipo tayari kujifunza zaidi na zaidi ndugu yangu
 
Mkataba ni kwa mwaka mmoja kwanza kwani ndio mara yangu ya kwanza kufanya hili jambo so bado nipo kwenye kujifunza pia na kupata uzoefu wa namna biashara zinavyoenda na ndio maana nikatoa uhakika wa hela yako kutokutetereka endapo biashara ikiyumba kwa kipindi Cha mkataba



Nipo tayari kujifunza zaidi na zaidi ndugu yangu
Hii 10% sio mbaya hata benki mtu haipati hii faida akiweka hela mwaka mzima kwa 10m.

Pia wewe umeweka security kwa investors(yaani hapotezi lolote hata iweje).

Ila kwa investors mwenye ku take risk anaona hii 10% ndogo sana.
 
Back
Top Bottom