Ninahitaji rafiki wa kiume mwenye asili ya mkoa wa Mtwara, na Lindi

Njoo kwangu binti mrembo mimi ni mmakonde njoo pm tuchart nipo mtwara mjini
 
Ulitumika na kinani mda ule mpk uje umalizie uzee na sisi😂
 
Nakulembela
 
Yap hao ndio wanaume sahihi kwako.Kwanza ni watafutaji,halafu watakufurahisha kwenye yale mavitu.

Jando hawapelekwi hospitalini,wanakatwa kienyeji kavu kavu tu.

Hakunaga mmachinga mshamba.

Umefanya chaguo bora sana

Karibu southpole Republic of Marchinguys
 
Usisikilize kelele za umri wako.
Wewe bado kijana Sana utapata mume na watoto.
 
Njaa mbaya
 
Yaani Age ya 33 una masharti Kama Mganga wa kienyeji!. Tena mmakonde of which 90% ni waislam.... Na wanapenda kuoa na kuacha!.. huku msimu ndo umeanza ,,,,watapatikana utaoleea Ila utapigwa talaka kabla mwaka haujaisha...
 
Pm yangu ipo wazi hapo, ukitaka hata kilugha tutaongea wa kukaya, nipo nakusubiri Newala moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…