Nani alikwambia kuishi kwako kwenye gorofa ni uhakika wa furaha? Sasa ushajua furaha sio magorofa nenda katafute furaha.Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
[emoji23][emoji23]Huu mtego sio wa kizamani sana kweli?
Saa nyingine bila kusali hata ukiwa na kila kitu waweza kuwa wajiskia vibaya tu,furaha yangu Mimi huwa ni kristo tu basi na sio material thingsFuraha hailetwi na uwingi wa vitu mtu alivyonavyo bali kuliamini jina la Mungu kupitia kwa Yesu ndio huleta furaha
Na wajinga watanasa[emoji1787]Huu mtego sio wa kizamani sana kweli?