Ninajamba sana ifikapo asubuhi

Chunguza utakuwa unalala bila kujifunika tumbo linapigwa baridi na kutengeza Gesi.jaribu kulala umejifunika au lala na nguo uangalie matokeo.
 
Kama hauna amoeba basi utakuwa na taifodi kapime maake umesema si kawaida kapime
 
Epuka kunywa maziwa fresh, yana gasi sana. Pia jitahidi kula mboga mboga na matikiti ili kupunguza uzalishaji wa gesi tumboni. Niliwahi kuwa na tatizo hili nikatibu kwa matunda na mbogamboga tu. Asali asubuhi, mchana na jioni ni muhimu sana
 
usiombe ukutane na mishuzi ya maharage au maboga na viazi sukari haki utajuta harufu yake
Ila harufu inategemea, kama mtu hajapata choo lazima itoke harufu mbaya, kama ya kuoza
 
Nimecheka sana,umenikumbusha mbaal sana,..x-dem wangu.
 
mmh nenda muhimbili uone, kuna watu wanawish wajambe kama wewe ila hawawezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…