Nawashukuru Sana
Member
- Dec 11, 2024
- 94
- 240
Wakuu Nina miaka sasa 40 Ila mama mkwe Ana 36 na Baba mkwe Ana 38.
Binti yao huyu Ana 20.
Wakuu familia za kiafrica zimekaa kimkakati Sana.
Asilimia kubwa ya watu ambao wamekulia kijijini na hawakusoma wengi ndo hali IPO hivi.
Vijana wa miaka 38-40 tayari wana watoto wa kuolewa huku na wao bado wanazaa.
Binti yao huyu Ana 20.
Wakuu familia za kiafrica zimekaa kimkakati Sana.
Asilimia kubwa ya watu ambao wamekulia kijijini na hawakusoma wengi ndo hali IPO hivi.
Vijana wa miaka 38-40 tayari wana watoto wa kuolewa huku na wao bado wanazaa.