Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshavuta sasa na huenda tayari kaanza countdownHata sisi bado ni km watoto zake, yeye atafute mzee mwenzie tu 😹
Yalonikuta .hamu na.wazee sina
🤣🤣😆Yalonikuta .hamu na.wazee sina
Ushauri tu.Jitahidi kuficha hisia zako pindi umetembelewa na Mama mkwe maana kama mnaendanaWakuu Nina miaka sasa 40 Ila mama mkwe Ana 36 na Baba mkwe Ana 38.
Binti yao huyu Ana 20.
Wakuu familia za kiafrica zimekaa kimkakati Sana.
Asilimia kubwa ya watu ambao wamekulia kijijini na hawakusoma wengi ndo hali IPO hivi.
Vijana wa miaka 38-40 tayari wana watoto wa kuolewa huku na wao bado wanazaa.
Sasa huyo mwanao una amua kumkojolea huoni jamii inakutazama Kwa fikra tofauti.Unawazungumziaje
- Ibrahim aliyemdunga kijakazi?
- Suleiman aliyefungua 1000 pages?
- Daudi aliyepokezana pumzi na mke wa Uria?
Wakuu Nina miaka sasa 40 Ila mama mkwe Ana 36 na Baba mkwe Ana 38.
Binti yao huyu Ana 20.
Wakuu familia za kiafrica zimekaa kimkakati Sana.
Asilimia kubwa ya watu ambao wamekulia kijijini na hawakusoma wengi ndo hali IPO hivi.
Vijana wa miaka 38-40 tayari wana watoto wa kuolewa huku na wao bado wanazaa.
Miaka 40 kwa 20 hawezi kuwa mjukuu ni mtoto.Mwenye kosa ni wewe ndiye tunapaswa tukushangae unaoaje mwanamke mwenye umri wa mjukuu wako?!!!
Wakuu Nina miaka sasa 40 Ila mama mkwe Ana 36 na Baba mkwe Ana 38.
Binti yao huyu Ana 20.
Wakuu familia za kiafrica zimekaa kimkakati Sana.
Asilimia kubwa ya watu ambao wamekulia kijijini na hawakusoma wengi ndo hali IPO hivi.
Vijana wa miaka 38-40 tayari wana watoto wa kuolewa huku na wao bado wanazaa.
Itifaki hazijali umri kuzingatiwa.Kwa hiyo wakwe wanakuamkia?
Kwa hiyo mkuu unaruka tu na vijana!Yalonikuta .hamu na.wazee sina
Huu ni ubaguzi wa wazi kabisa! Age is just a number, ok?Mwenye kosa ni wewe ndiye tunapaswa tukushangae unaoaje mwanamke mwenye umri wa mjukuu wako?!!!
Kwani haiingii?Wakuu Nina miaka sasa 40 Ila mama mkwe Ana 36 na Baba mkwe Ana 38.
Binti yao huyu Ana 20.
Wakuu familia za kiafrica zimekaa kimkakati Sana.
Asilimia kubwa ya watu ambao wamekulia kijijini na hawakusoma wengi ndo hali IPO hivi.
Vijana wa miaka 38-40 tayari wana watoto wa kuolewa huku na wao bado wanazaa.
imeshakuwa kawaida kuoa binti ambaye wazazi wake umewazidi umri. Ila ipo changamoto kama mama binti atakutamani, huwa wanasema mzee wako ni saizi yangu. Mama mkwe naye hutaka kula sahani moja na binti yake, hukosa adabu kwa mkwe mwana wakeWakuu Nina miaka sasa 40 Ila mama mkwe Ana 36 na Baba mkwe Ana 38.
Binti yao huyu Ana 20.
Wakuu familia za kiafrica zimekaa kimkakati Sana.
Asilimia kubwa ya watu ambao wamekulia kijijini na hawakusoma wengi ndo hali IPO hivi.
Vijana wa miaka 38-40 tayari wana watoto wa kuolewa huku na wao bado wanazaa.