Ninamzidi umri baba mkwe na mama mkwe. Je, hii ni sawa?

Ninamzidi umri baba mkwe na mama mkwe. Je, hii ni sawa?

Akuna tatizo kikubwa epuka mama mkwe kukutembelea sana karm is bitch
 
Mzee huyo ni mjukuu wako. Kama umewazidi umri wazazi wake ina maana hapo hakutakuwa na balance nzuri.

Hebu nenda katafute shangazi la miaka 35 hapo mfunge ndoa.
 
Mimi nina kashemeji kangu kana miaka mitano,dada ake ninaemgonga ana miaka 22 now.wazazi wake wana baba miaka 41 mama 37.
 
Hatari sasa wakwe watakua wanakuamkia wewe😂😂😂 au mtakua mnaitana Kaka,dada 😂😂

Wakwe wakigombana wanakuja kuomba ushauri kwako maana wewe ni mkubwa,Cha msingi uwe na hela.
 
Back
Top Bottom