Ninaomba Jukwaa letu la JamiiForums liwahoji Viongozi wakuu wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao; kwa haya Yanayoendelea nchini mwetu

Ninaomba Jukwaa letu la JamiiForums liwahoji Viongozi wakuu wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao; kwa haya Yanayoendelea nchini mwetu

Kikwava

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
1,741
Reaction score
1,068
Tunaomba wahojiwe viongozi wa Chadema kwa haya yafuatayo.

1. Kwanini wanakumbatia wanachama wao ambao tabia na matendo yao ni kero kwa jamii mfano wa akina Mdude, Maria sarungi nk

2. Kwanini hawawakanyi wanachama wao pale wanapotukana viongozi waziwazi huku wakiwa na logo za CHADEMA kwenye profile zao, je, Kwao Kama Viongozi wakuu wa chama wanaona halali? Au wanawatuma?

3. Kwanini mtu yoyote ambaye amehukumiwa kama mhalifu wa makosa ya kimtandao (cybercrimes act, 2015) wanamfanya Kama mwanachama wao wa CHADEMA badala ya kumtenga na kumkataa je! Hii ni sawa?

4. Je, Sisi Kama Wananchi Tutatofautishaje Kati ya uhalifu indiscipline cases na CHADEMA? Kwasababu kila mhalifu nchini kwenu nyie CHADEMA kwao ni mtu Safi. Hii hapana!

NB; Viongozi wakuu wa CHADEMA mjitafakari na mchukue hutua kwa hayo niliyoyaorodhesha hapo juu maana wanachama wenu wanaleta picha mbaya kwa jamii.
 
Tunaomba wahojiwe viongozi wa chadema kwa haya yafuatayo.

1. Kwanini wanakumbatia wanachama wao ambao tabia na matendo yao Ni kero kwa jamii mfano wa akina Mdude, Maria sarungi nk

2. Kwanini hawawakanyi wanachama wao pale wanapotukana viongozi waziwazi huku wakiwa na logo za chadema kwenye profile zao, je! Kwao Kama viongozi wakuu wa chama wanaona halali? Au wanawatuma?

3. Kwanini mtu yoyote ambaye amehukumiwa kama mharifu wa makosa ya kimtandao (cybercrimes act, 2015) wanamfanya Kama mwanachama wao wa chadema badala ya kumtenga na kumkataa je! Hii ni sawa?

4. Je! Sisi Kama Wananchi Tutatofautishaje Kati ya uharifu indiscipline cases na chadema? kwasababu kila mharifu nchini kwenu nyie chadema kwao ni mtu Safi. Hii hapana!

NB; viongozi wakuu wa chadema mjitafakari na mchukue hutua kwa hayo niliyoyaorodhesha hapo juu maana wanachama wenu wanaleta picha mbaya kwa jamii.
na wewe wahoji CCM kwanini wanapoteza, kuteka kuua watu
 
Tunaomba wahojiwe viongozi wa chadema kwa haya yafuatayo.

1. Kwanini wanakumbatia wanachama wao ambao tabia na matendo yao Ni kero kwa jamii mfano wa akina Mdude, Maria sarungi nk

2. Kwanini hawawakanyi wanachama wao pale wanapotukana viongozi waziwazi huku wakiwa na logo za chadema kwenye profile zao, je! Kwao Kama viongozi wakuu wa chama wanaona halali? Au wanawatuma?

3. Kwanini mtu yoyote ambaye amehukumiwa kama mharifu wa makosa ya kimtandao (cybercrimes act, 2015) wanamfanya Kama mwanachama wao wa chadema badala ya kumtenga na kumkataa je! Hii ni sawa?

4. Je! Sisi Kama Wananchi Tutatofautishaje Kati ya uharifu indiscipline cases na chadema? kwasababu kila mharifu nchini kwenu nyie chadema kwao ni mtu Safi. Hii hapana!

NB; viongozi wakuu wa chadema mjitafakari na mchukue hutua kwa hayo niliyoyaorodhesha hapo juu maana wanachama wenu wanaleta picha mbaya kwa jamii.
Kwenye masuala ya mtandao hiyo sheria kuna wakati inatumika vibaya kama fimbo ya kuwatia adabu wakosoaji wa serikali na ndio maana wengi wanatetewa.
Msaada wa kisheria ni haki ya kila mtuhumiwa mkuu.
 
Kwenye masuala ya mtandao hiyo sheria kuna wakati inatumika vibaya kama fimbo ya kuwatia adabu wakosoaji wa mtandao na ndio maana wengi wanatetewa.
Msaada wa kisheria ni haki ya kila mtuhumiwa mkuu.
Ushahid wa kosa la mtuhumiwa huwekwa wazi Sasa kwann chadema huwa wanawafanya kuwa wanachama wao, huoni Kama Kuna shida?
 
Tunaomba wahojiwe viongozi wa chadema kwa haya yafuatayo.

1. Kwanini wanakumbatia wanachama wao ambao tabia na matendo yao Ni kero kwa jamii mfano wa akina Mdude, Maria sarungi nk

2. Kwanini hawawakanyi wanachama wao pale wanapotukana viongozi waziwazi huku wakiwa na logo za chadema kwenye profile zao, je! Kwao Kama viongozi wakuu wa chama wanaona halali? Au wanawatuma?

3. Kwanini mtu yoyote ambaye amehukumiwa kama mharifu wa makosa ya kimtandao (cybercrimes act, 2015) wanamfanya Kama mwanachama wao wa chadema badala ya kumtenga na kumkataa je! Hii ni sawa?

4. Je! Sisi Kama Wananchi Tutatofautishaje Kati ya uharifu indiscipline cases na chadema? kwasababu kila mharifu nchini kwenu nyie chadema kwao ni mtu Safi. Hii hapana!

NB; viongozi wakuu wa chadema mjitafakari na mchukue hutua kwa hayo niliyoyaorodhesha hapo juu maana wanachama wenu wanaleta picha mbaya kwa jamii.
Jamii isipate picha mbaya kwa wizi wa kura unaofanywa na ccm nchi nzima, na wizi wa mali za umma. Ila wapate picha mbaya kwa wafuasi wa cdm kuwadhihaki viongozi majizi ya ccm.
 
JF imevamiwa: Sawa Mkuu:Hebu tupe tofauti na mifanano kati ya CCM na CHADEMA, unayoifahamu wewe-kwa uchache tu .
 
Jamii isipate picha mbaya kwa wizi wa kura unaofanywa na ccm nchi nzima, na wizi wa mali za umma. Ila wapate picha mbaya kwa wafuasi wa cdm kuwadhihaki viongozi majizi ya ccm.
Hakuna wizi wa kura nchini.
Sema tu hayo matukio hapo juu yanafanya chadema kionekane ni chama Cha waharifu
 
Tunaomba wahojiwe viongozi wa chadema kwa haya yafuatayo.

1. Kwanini wanakumbatia wanachama wao ambao tabia na matendo yao Ni kero kwa jamii mfano wa akina Mdude, Maria sarungi nk

2. Kwanini hawawakanyi wanachama wao pale wanapotukana viongozi waziwazi huku wakiwa na logo za chadema kwenye profile zao, je! Kwao Kama viongozi wakuu wa chama wanaona halali? Au wanawatuma?

3. Kwanini mtu yoyote ambaye amehukumiwa kama mharifu wa makosa ya kimtandao (cybercrimes act, 2015) wanamfanya Kama mwanachama wao wa chadema badala ya kumtenga na kumkataa je! Hii ni sawa?

4. Je! Sisi Kama Wananchi Tutatofautishaje Kati ya uharifu indiscipline cases na chadema? kwasababu kila mharifu nchini kwenu nyie chadema kwao ni mtu Safi. Hii hapana!

NB; viongozi wakuu wa chadema mjitafakari na mchukue hutua kwa hayo niliyoyaorodhesha hapo juu maana wanachama wenu wanaleta picha mbaya kwa jamii.
Wewe umeshindwa kuwauliza?Unaitwa nani vile?Kilaza?
 
JF imevamiwa: Sawa Mkuu:Hebu tupe tofauti na mifanano kati ya CCM na CHADEMA, unayoifahamu wewe-kwa uchache tu .
Indiscipline cases zote nchini zinatoka kwa wafuasi wa chadema Sasa nikupe tofauti ipi Wakati nimeorodhesha hapo juu
 
Back
Top Bottom