Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Nsaada mzuri sana lkn utafelishwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri namba moja na wa pekee ni kwenda kuwaona wataalam hospitalini.Nina tatizo la tumbo kujaa gesi saan
Na kibaya zaidi na pata choo kigumu
Na nina jamba saana
Sasa leo nilivyo cheki kinyesi changu nimeona kama kuna matone kidogo kidogo ya damu
Sijui hili ni tatizo gani
Nilikwenda hospital docter aliniuliza dalili tu ninazo sikia nikamwambia akanigusa tumboni alafu akasema sina tatizo lolote zaidi ya gesi tu tumboni
Sasa nataka kuhuliza mtu mwenye gesi tumboni anaweza kupata cha ngumu?
Ambayo ina matone ya damu?
Tumia asali mara Kwa mara na maji viguvugu..Nina tatizo la tumbo kujaa gesi saan
Na kibaya zaidi na pata choo kigumu
Na nina jamba saana
Sasa leo nilivyo cheki kinyesi changu nimeona kama kuna matone kidogo kidogo ya damu
Sijui hili ni tatizo gani
Nilikwenda hospital docter aliniuliza dalili tu ninazo sikia nikamwambia akanigusa tumboni alafu akasema sina tatizo lolote zaidi ya gesi tu tumboni
Sasa nataka kuhuliza mtu mwenye gesi tumboni anaweza kupata cha ngumu?
Ambayo ina matone ya damu?
Sikupanga kucheka kwa leo dah😆😆nenda ccm kwenye makorido ya lumumba utakuta kunavijana wamefugwa huko kama nguruwe huku wakiwa wameshika leaflets yameandikwa mama anaupiga mwingi ukichukua herufi moja kwenye hayo mabango ukapondaponda kwenye jiwe ukanywa utaona jinsi mamayao anavyoupiga mwing.
Tatizo lako ni mgolo wa ndan!Nina tatizo la tumbo kujaa gesi saan
Na kibaya zaidi na pata choo kigumu
Na nina jamba saana
Sasa leo nilivyo cheki kinyesi changu nimeona kama kuna matone kidogo kidogo ya damu
Sijui hili ni tatizo gani
Nilikwenda hospital docter aliniuliza dalili tu ninazo sikia nikamwambia akanigusa tumboni alafu akasema sina tatizo lolote zaidi ya gesi tu tumboni
Sasa nataka kuhuliza mtu mwenye gesi tumboni anaweza kupata cha ngumu?
Ambayo ina matone ya damu?
Duuuh! imenichekesha sana,itabidi siku moja niende hapo Lumumba,nikaangalie hao vijana,kama wanafanyaje kazi hapo Lumumba,maana nimekua nikiwasikia eti 'Lumumba buku 7...'nenda ccm kwenye makorido ya lumumba utakuta kunavijana wamefugwa huko kama nguruwe huku wakiwa wameshika leaflets yameandikwa mama anaupiga mwingi ukichukua herufi moja kwenye hayo mabango ukapondaponda kwenye jiwe ukanywa utaona jinsi mamayao anavyoupiga mwing.
Vipi,kujamba kuliisha mkuu ?