toccara
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 540
- 202
Habari,
samahani jamani ninatatizo ambalo limenikabili ninaomba msaada wenu, nina mdogo wangu alifanya kidato cha nne mwaka 2005 akapata division 4 ya 33, nilimwambia arudie hakutaka akaenda uganda akafanya kidato cha sita akapata principal pass mbili na subsidiary moja, principal pass hizo ni za kiswahili na fine art, na subsidiary pass ya geography.
Pia alifanya certificate ya graphisc design, baadae akataka kusoma tena akaomba kamapala international ya Dar akapata diploma ya business administration mwaka 2009, ila baadae akakataa kusoma sasa amekaa nyumbani matumizi nikampunguzia, jana kaniambia anataka kusoma ila mambo ya information technology.
Jamani mtu kama huyu anatakiwa kuanza kwa ngazi ipi?
Pia ni chuo gani kitaweza kumpokea? Au kozi gani anaweza kufanya? Ni msichana na kwa kuwa sasa maisha yamempiga chochote nitakachomwambia atafanya.
Naombeni mnisaidie mawazo nijue kwa kumuweka
samahani jamani ninatatizo ambalo limenikabili ninaomba msaada wenu, nina mdogo wangu alifanya kidato cha nne mwaka 2005 akapata division 4 ya 33, nilimwambia arudie hakutaka akaenda uganda akafanya kidato cha sita akapata principal pass mbili na subsidiary moja, principal pass hizo ni za kiswahili na fine art, na subsidiary pass ya geography.
Pia alifanya certificate ya graphisc design, baadae akataka kusoma tena akaomba kamapala international ya Dar akapata diploma ya business administration mwaka 2009, ila baadae akakataa kusoma sasa amekaa nyumbani matumizi nikampunguzia, jana kaniambia anataka kusoma ila mambo ya information technology.
Jamani mtu kama huyu anatakiwa kuanza kwa ngazi ipi?
Pia ni chuo gani kitaweza kumpokea? Au kozi gani anaweza kufanya? Ni msichana na kwa kuwa sasa maisha yamempiga chochote nitakachomwambia atafanya.
Naombeni mnisaidie mawazo nijue kwa kumuweka