Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
Wakuu, nimeshtuka kutoka usingizini takribani zaidi ya nusu saa iliyopita nikitafakari juu ya ndoto hii niliyoiota.
Nimeota nipo mazingira yangu ya kazi ( inaniunganisha mimi na wateja) kuna kitu mteja alijieleza lakini Meneja wangu hakumuelewa ila mimi nilikua nimemuelewa nikaamuru ahudumiwe kwa alichotaka ila kwa kuwa hakueleweka kwa Meneja akasema nitawajibika kwa damage yoyote atakayopata mteja kimoyomoyo nikasema sawa huku nikiwa na uhakika na nilichofanya na ile "ngoja tuone"!! ... at the end nikaonekana nipo sahihi.
Baada ya hapo nikataka kwenda washroom.. nimetoka nje kama kuna kichaka kidogo tu na mbele yake ndipo kuna washrooms.. nikaona nyoka mweusi mwembamba amejilaza njiani (sipo vizuri kwenye kutambua species za nyoka hapo mtanisaidia) .. ila akilini nikajisemea yule nyoka ni kama Meneja wangu (yani nafsi ya Meneja ndani ya nyoka)
Nikajisemea pale napita hivyo hivyo siogopi! Nikapita kwa kumruka kwa mwendo wa kawaida! Baada ya mwendo kidogo akaanza kunifuata! Hhm! Hapo nikajisemea huyu nimkimbie tu.. nkaanza kukimbia kwa speed mithili ya Kipchong!
Wakati nakimbia kwa speed kali ambayo kikawaida siwezi kukimbia nikawa nampitisha sehem mbaya mbaya.. kama mwenye miiba na kokoto nyingi.. na niliona nafurahia kumpitisha sehem hizo mpaka nikawa namcheka yani nkimuangalia !!!
Mwishowe na washroom nikaghairi nkasema na deal na huyu nyoka shenzi zake!! Kwa hiyo akawa kachoka tayari na kajeruhiwa kwa zile sehem nilizompitisha! Aliacha kunikimbiza akawa kakoma na mimi nilirudi ofisini nikiwa nimefurahi sana kwa kitendo kile.
Nikashtuka usingizini nikatafakari sana juu ya ndoto hii na kuamua kuipandisha hapa!
In reality Meneja wangu anapambana sana kunishusha cheo maana mimi ni msaidizi wake na hakuna popote nilipomkosea!.
Naomba mwenye tafsiri maana nimetafakari sana nashindwa kupata majibu!.
Nawasilisha.
Herbalist Dr MziziMkavu
Mshana Jr
Nimeota nipo mazingira yangu ya kazi ( inaniunganisha mimi na wateja) kuna kitu mteja alijieleza lakini Meneja wangu hakumuelewa ila mimi nilikua nimemuelewa nikaamuru ahudumiwe kwa alichotaka ila kwa kuwa hakueleweka kwa Meneja akasema nitawajibika kwa damage yoyote atakayopata mteja kimoyomoyo nikasema sawa huku nikiwa na uhakika na nilichofanya na ile "ngoja tuone"!! ... at the end nikaonekana nipo sahihi.
Baada ya hapo nikataka kwenda washroom.. nimetoka nje kama kuna kichaka kidogo tu na mbele yake ndipo kuna washrooms.. nikaona nyoka mweusi mwembamba amejilaza njiani (sipo vizuri kwenye kutambua species za nyoka hapo mtanisaidia) .. ila akilini nikajisemea yule nyoka ni kama Meneja wangu (yani nafsi ya Meneja ndani ya nyoka)
Nikajisemea pale napita hivyo hivyo siogopi! Nikapita kwa kumruka kwa mwendo wa kawaida! Baada ya mwendo kidogo akaanza kunifuata! Hhm! Hapo nikajisemea huyu nimkimbie tu.. nkaanza kukimbia kwa speed mithili ya Kipchong!
Wakati nakimbia kwa speed kali ambayo kikawaida siwezi kukimbia nikawa nampitisha sehem mbaya mbaya.. kama mwenye miiba na kokoto nyingi.. na niliona nafurahia kumpitisha sehem hizo mpaka nikawa namcheka yani nkimuangalia !!!
Mwishowe na washroom nikaghairi nkasema na deal na huyu nyoka shenzi zake!! Kwa hiyo akawa kachoka tayari na kajeruhiwa kwa zile sehem nilizompitisha! Aliacha kunikimbiza akawa kakoma na mimi nilirudi ofisini nikiwa nimefurahi sana kwa kitendo kile.
Nikashtuka usingizini nikatafakari sana juu ya ndoto hii na kuamua kuipandisha hapa!
In reality Meneja wangu anapambana sana kunishusha cheo maana mimi ni msaidizi wake na hakuna popote nilipomkosea!.
Naomba mwenye tafsiri maana nimetafakari sana nashindwa kupata majibu!.
Nawasilisha.
Herbalist Dr MziziMkavu
Mshana Jr