Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
- Thread starter
- #21
Amen dearšMungu akutangulie kwenye utafutaji wako
Ngoja waje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen dearšMungu akutangulie kwenye utafutaji wako
Ngoja waje
Chakula kiasi cha kawaida..Kabla ya kulala ulikua umekula nini, kiasi gani? Mazingira uliyolala yapoje i mean kitanda na madirisha na idadi ya watu kitandani....Jana ulikua unawaza nini hasa ?
Nashkuru sana kwa ufafanuzi..Mwongozo kupata tafsiri ya ndoto.
MAZINGIRA- Kazini unapofanyia
VILIVYOHUSIKA- Wewe, boss na nyoka
MAADUI- Nyoka
ULICHOKUWA UNAFANYA-kuhudumia mteja wakati boss kashindwa, kwenda washroom na kumkimbia nyoka.
HOW DID IT END- good or bad end
Hapa umefunuliwa yanayoendelea kazini kwako, kwa ufupi Meneja wako ni adui uadui unaotokana na kumzidi baadhi ya mambo (refer kitendo cha kumhudumia mteja wakati ye kashindwa kumwelewa) na hiki ndo chanzo cha uadui.
Pili uadui wenu ni utaendelea kwa sababu going to washroom ni kiashiria cha kweda kutoa unwanted au kujisafisha uwe clean zaidi. Uamzi wa kwenda washroom inaashiria adui iadha keshakuchafua au kafanya jambo la kukuharibia na analengo la ubaki hivyo hivyo ili adhima yake ifanikiwe ndo maana kuwepo kichaka chenye nyoka kilicho block lengo lako la kwenda washroom.
Tatu nyoka ni adui. Kitendo cha kukufata/kukukimbiza ni kwamba adui anakufatilia akudhuru. ( we all know, most of snakes are poisonous and kills). Kwa hiyo adui anaweza kuiua position yako kazini na pengine kajipanga kwa hilo. Hajafanikiwa kwasababu upo vizuri thatz why alionekana hajakupata na umempitisha mazingira yaliyomdhuru yeye instead of you.
Endelea kuwa karibu na Mungu kwa sala za kutosha as this is the only weapon. Ndoto ni spiritual monitor kutuonesh what is going on, what is coming and what happened ili tuchukue hatua.
Amen.. ndoto ni mlango wangu mkuu kwa ishara na mambo yaliyopo, yaliyotokea na yatakayotokea..Hiyo ni dalili tu ya kushindwa kwa adui yako, na sio kwamba ameshashindwa. Umesema umemchosha, je, akipata nguvu, si ataanza upya? Endelea kujiimarisha kiroho, maana ndio silaha yako.
Roho wako ana nguvu kuliko hao roho wengine (uchawi, mazingara, ushirikina, nk). Fimbo ya Musa (wakiwa Misri), ilipofanya maajabu ya kugeuka kuwa nyoka, ili kumfanya mfalme (Farao) aache kiburi na kuwaachia wanaisraeli, mfalme naye akawatuma wachawi wake, wafanye kama alivyofanya Musa. Nao wakafanya uchawi wao, wakatokea nyoka, lakini nyoka wa Musa akawameza wale nyoka wa uchawi.
Nyoka wa Musa alikuwa ni roho, na ndio maana akawashinda nyoka wa uchawi. Nawe utamshinda huyo nyoka kama utaendelea kuwa imara. Hivyo kwako, umeonyeshwa dalili ya ushindi, lakini usibweteke, endelea kusimama imara, ujilinde.
Uadui upo kiuhalisia.. ni Mungu tu ananipigania.Ndoto za nyoka si nzuri kabisa ni adui piga maombi atajizihirisha kiualisia
Mimi sio RC mkuušKama wewe ni Rc nenda kaabudu Ekaristi Takatifu utakuja kusema humu mambo utakayo yaona ya wazi
Nyoka ni adui.Nyoka mweusi ni ishara ya "adui" htari.
Sanaaaaaaa..Ndoto ya nyoka kama akikungata ndo ishara mbaya
kwenye ndoto....nyoka mweusi huwakilisha ishara au mfano wa "adui" hatriNyoka ni adui.