Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
- Thread starter
-
- #21
i wish nijue namna ya kuicontrolIpo hivi, unapolala, mwili una zima na roho inakuwa active. Roho inapokuwa na nguvu inakuwa na control na mazingira na roho ikiwa Haina nguvu inakuwa haina control na mazingira, kuna Ile MTU kupitia ulimwengu wa ndoto anaitwa na wachawi au roho ovu unakuta anaenda, na kuna Ile MTU anaitwa na roho ovu ila haendi.. ndio kama wewe Sasa hapo.. umeenda sehemu ambayo haitakiwi huende.. maana yake roho yako Haina nguvu.. sio swala unajua kutoka mwilini au hujui.. kitendo Cha kulala huwa kinafanya hilo by default.. ila uki mature ku exercise rohoni inaweza ukawa unafanya utakapo
na bebi kheeUlilala na nani tuanzie hapo?
aiseeTafuta mtumishi wa Yesu Kristo mweleze akufanyie maombi inaonekana nafasi yako inatekwa kichawi na kupitishwa kwenye mashimo ya uharibifu. Hasa ni chini ya maji kwenye miji ya kipepo. Fanya ukombozi haraka kwani mambo haya yanaweza kuambatana na anguko kiuchumi, na mambo yako mengine.
Baby bebi au beby baba?na bebi khee
Yaan kuwe na series ya matukio ndotoni hivi unajua hata watengeneze movie mfano Ile avatar Jamaa Ile ni ndoto tu wenyewe wanaita lucid dreamingMuendelezo ili ujumbe wote utimie!!??
Fanya mazoezi ya kiroho na kuilewa roho yako.. usije siku moja kujikuta mateka wa kiroho kwa kuingia kwenye territory zisizokuhusui wish nijue namna ya kuicontrol
Fanya mazoezi ya kiroho na kuilewa roho yako.. usije siku moja kujikuta mateka wa kiroho kwa kuingia kwenye territory zisizokuhusu
aisee kwa hiyo humu jf kila mtu ni mkristo?Ni YESU huyo anakuita
YESU ndo mpandafarasi na mbingun ndo kwa BABA yake
dangaBaby bebi au beby baba?
Ulaaniwe kabisasponsor au
danga
hizi hasira vipi ulitaka nilale na wewe au baba ako?Ulaaniwe kabisa
Mazoezi ya roho, ni pamoja na kusoma vitu vya rohoni ili ku renew your soul, uwisha nguvu za mwili wako, fanya meditation etctwende taratibu unamaanisha nianze kufanya meditation right au niwenasali sana? nielekeze ningependa kufaham
asante sanaMazoezi ya roho, ni pamoja na kusoma vitu vya rohoni ili ku renew your soul, uwisha nguvu za mwili wako, fanya meditation etc
ndiooUmeolewa?π
asantekuwepo sehemu nyingine =ulimwengu wa kiroho ambao una akisi matendo maisha yako ya duniani na yaliyopel mbeleni hatma ya maisha yako ya mbeleni ama kitakachotikea mbele.
KIOO-ni kama sinema ya picha ya hatma ya maisha yako unayoishi na yatakayotokea mbeleni
Mdudu bui bui-ni roho mchafu roho za ufalme wa giza/nguvu za giza/adui au pepo au wachawi au shetani au ubaya fulani uovu fulani uliopangwa kutoka kwa adui/ufalme wa giza.
nyumba -ni matendo yako kwa kila tendo jema liwe jema au baya ni building material ya kujenga nyumba yako either peponi au kuzimu.
kama matendo yako ni mema mana yake unajenga nyumba yako peponi,kama matendo yako ni mabaya unajenga nyumba yako ambayo ni shimo au gereza lako kizimu.
NINI CHA KUFANYA
maombi kwa Mungu wako ,endelea kutenda mema jiepushe na dhambi ama uovu.
Omba kwa Mungu wako aendelee kukusaidia.Siyo ndoto nzuri,hii nina uhakika.solution mambo ya kiroho yanatatuliwa kiroho.Kwa njia ya imani kusali na matendo,imani+matendo mema kadiri ya principle za imani.