Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikujua kwamba hii nayo ni dawa...?Gepema, hongera sana kugundua matatizo yako. Pole sana na Mungu akutie nguvu.
Sasa nakushauri ujiunge na JF SACCOSS mambo yote na addiction zako zitakuwa ndiyo basi.
Tuma email address na namba yako ya simu nikuweke kweye list. Nina uhakika umepona.
SEMA AMEN.
tuacheni utani huyu msela tatizo lake tunalo wengi aisee......sema mie huwa najijua na nina uwezo wa kuacha taia fulani hata kwa mitulinga.....hakuna kimtu kina tabia ya kutamani shoriz kama mie......nikijua kitu kimetoka sukumaland rangi nyeupee na body zileee aah lazima nipumzike.....Mpe mambo mkeo wakati una nguvu sio unazimalizia nje halafu ukishazeeka ndiyo utulie na kumzeekea zaidi.