The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Izo dharau mm nisingeweza kuvumilia ningesepa zangu kupambana kivyangu.Habarini Wakuu.
Nipo mbele yenu ninaomba kuunganishwa na kazi ili mradi nipate kipato changu halali.
Nitaeleza kilichonikuta kwa ufupi.
Mimi ni mhitimu wa Shahada ya Usimamizi Wanyamapori (bado sijaajiriwa huu ukiwa mwaka wa 9). Nina familia ya watoto wawili ingawa kwa sasa ninaishi na mmoja na mama yake.
Kuna kipindi niliitwa interview Mkoa X, nilipofika wakaniomba hela 1.1 M ndipo nipate kazi. Sikuwa nayo, niliikosa ile kazi. Nikajiongeza nikaomba nafasi nijishikize Ofisi Serikali na nilifanikiwa nikawa nina hakika ya kupata elfu 60 kwa mwezi (inaitwa OC, walooajiriwa wanajua). Kile kipato ikanibidi nipange Geto, nile, ninywe n.k
Huku Dar mama mtoto ana kazi yenye mshahara wenye 6+ digits. Nikawa ninarudi Dar mara chache sana kwa mwaka. Mpaka mwaka jana nikaona nimejishikiza sana pale na bado sioni future hivyo nikaamua kurudi Dar.
Nimefika home maisha yakaendelea vema na mama mtoto.
Siku moja nikamwambia kwa kuwa wewe una kutana na wengi huko makazini, ninaomba nipambanie nipate pa kujishikiza sio lazima iwe kazi ya professional yangu. Akakubali. Nakumbuka nilimkumbusha mara 2 hivi akawa ananitajia nitaongea na Y na Z. Kumbe bwana Z ni mchepuko wake (hapo nilikua sijui).
Siku moja amerudi home toka kazini bwana Z akampigia simu mama mtoto nikiwa naye. Akapokea. Ila alivokua anaongea ilinipa mashaka kwasababu alikua anamjibu sivyo, mara kigugumizi (nadhani mnaelewa). Nikamwambia mbona unaongea hivo? Akanijibu ni mmoja wa niliyemuomba kazi kwa ajili yako. Tobaaa! Nikashangaa ndio unamjibu hivo? Hiyo kazi nitapata kweli? Nikawa interested kujua zaidi. Mama mtoto akaniambia tuingie ndani, akili yangu ikaniambia huyu anataka amtumie jamaa msg (kama vile nilikuwepo akilini mwake). Tukaingia room ila mwenzangu akatoka Sebuleni na simu yake mkononi, nami kwasababu nimejua lengo lake nikatoka pia nikaenda nje moja kwa moja. Haraka akarudi room kutoka Sebuleni. Nami sekunde kadhaa nikarudi haraka room. La haula! Nikampokonya simu, kweli akawa amemwandikia jamaa asipige simu sababu amekamatwa (alikuwa bado hajaituma kwa jamaa). Niliumia sana. Nikamkumbusha kuwa nilikuambia hii simu nina mashaka nayo na hata unachonielezea kwamba jamaa anakutongoza si kweli na hata macho yako yanaonesha unanidanganya. Akabaki hajui la kufanya.
Nilimtxt jamaa kwa maneno ya kuumiza sana ila hakujali wala nini. Mama mtoto alifita ile namba ya jamaa. Nikasamehe. Zikapita wiki kadhaa. Jamaa akamtafuta tena mama mtoto na hapo mama mtoto alikua amenipatia simu yake (anataka niaminisha hana tena mawasiliano na jamaa). Nikawa interested kujua ukweli wa natafutiwa kazi au kuna lingine. Nikachat na jamaa kupitia simu ya mama mtoto. Aisee! Mwishowe nikagundua hawa ni aidha walikua au ni wapenzi. Nikamrudi kwa mama mtoto aniambie ukweli wa hili. Kweli bwana mama mtoto akasema nilipokuwa Mkoa X sikuwa namtumia hela hivyo akawa na jamaa kwasababu alikua anampa hela (Niliumia sana, nashindwa kueleza ila mwanaume aliyechapiwa mkewe anajua maumivu haya). Nikajiuliza kumbe mimi ninapambana Mkonai, huku mwenzangu ana mahusiano mapya na anataka mchepuko wake uniunganishie kazi Ofisini kwao (hii ni dharau kubwa sana). Mama mtoto ana mshahara mzuri lakini bado aliingia tamaa ya hela.
Nimeulubali ukweli huo, nikasamehe ila kisahau bado. Mwanamke nikamwambia kufuta namba ya jamaa wala si suluhisho. Onhea nae muelezee A, B, C. Akakubali. Siku moja tulipiga simu kwa jamaa akatublock.
Ni maumivu makali sana ninayo kwa kutoa kuwa na kazi. (Nimefupisha story, yanaumiza nikikumbuka zaidi).
Ninaombeni mnisaidie nipate kazi ili nisahau hilo jambo maana nitakuwa busy.
Nina tanguliza shukrani zangu za dhati kwenu wakuu.
Ndio maana sitaki kukaa hivi, ninatafuta nijishikize mahali. Angekuwa mwanaume mwingine angeridhika maana ananiachia Card yake ya bank, natoa hela, nafanya manunuzi mbalimbali as a man. Lakini mimi hii ndio siitaki, I want to earn my own.Kiongozi huna haja ya kuonyesha unyonge mbele ya mkeo kwakuwa huna kazi .
Tafadhali simama kama mwanaume hata kama huihudumii familia Kuna namna flani unakuwa mpk mkeo anajiuliza hivi huyu akipata kazi au hela itakuwaje?
Acha unyonge dunia haina huruma
Mkuu, nitajaribu kuanza kuzunguka kwenye Kampuni za ulinzi.Tafuta hata KAZI hizi kampuni kubwa za ulinzi wanalipa si chini ya 280000 utajishikiza kama kianzio au vipi tafuta KAZI nje ya nchi utapata.
Au tafuta walimu wakufunze jinsi ya kupata pesa online usitumie bando lako kuangalia ujinga.
Ni wanawake wachache sana wenye huruma na mwanaume asiye na kitu,labda wale wa kiroho ( kiroho sio dini) siku hizi kuchapiwa ni sawa na nzi kuingia kwenye glass ya bia.
Hakuna connection ya KAZI au maisha kila kitu unavipata online siku hizi.Mkuu, acha tu. Nimejitafuta sana ila sijakata tamaa. Ninaomba wadau wanisaidie niepukane na hiki kikombe
Ninakushukuru sana kwa ushauri wako Mkuu.Pole sana kwa wakati mgumu unaopitia hakika utavuka salama na utakuwa imara.
Nashauri uendelee kuwa nae Wala usithubutu kumwacha kwani unaelekea kuyamaliza makandokando ubakiwe na kitu halisi ila ni suala la mda tu.
Maumivu unayopitia ni ya mda Wala usifikirie yatakuwa siku zote milele.
Kama unamwamini Mungu tenga mda zungumza nae, nae atakupa njia Wala usiwe dhaifu kwa kukosa nguvu ya pesa ndani, weka misingi ya familia Yako haijalishi kwa mazingira Gani itakusaidia sana.
Yashinde mawazo mabaya kwa mema nawe utajenga funzo kwa mwenza wako Wala usiyape nafasi yasiyojenga.
Unanafasi kubwa ya kujenga Wala usiwaze kisasi.
Sifa ya mwanaume ni kua na pesa iwe kidogo isiwe kidogo, mwanaume hutakiwi kukosa pesa ya vitu kwa ajili ya familia,Habarini Wakuu.
Nipo mbele yenu ninaomba kuunganishwa na kazi ili mradi nipate kipato changu halali.
Nitaeleza kilichonikuta kwa ufupi.
Mimi ni mhitimu wa Shahada ya Usimamizi Wanyamapori (bado sijaajiriwa huu ukiwa mwaka wa 9). Nina familia ya watoto wawili ingawa kwa sasa ninaishi na mmoja na mama yake.
Kuna kipindi niliitwa interview Mkoa X, nilipofika wakaniomba hela 1.1 M ndipo nipate kazi. Sikuwa nayo, niliikosa ile kazi. Nikajiongeza nikaomba nafasi nijishikize Ofisi ya Serikali na nilifanikiwa nikawa nina hakika ya kupata elfu 60 kwa mwezi (inaitwa OC, waloajiriwa wanajua). Kile kipato ikanibidi nipange Geto, nile, ninywe n.k
Huku Dar mama mtoto ana kazi yenye mshahara wenye 6 zeros (1+M) (Awali niliandika 6+ digits, nilikosea nilichokuwa nina maanisha). Nikawa ninarudi Dar mara chache sana kwa mwaka. Mpaka mwaka jana nikaona nimejishikiza sana pale na bado sioni future hivyo nikaamua kurudi Dar.
Nimefika home maisha yakaendelea vema na mama mtoto.
Siku moja nikamwambia kwa kuwa wewe una kutana na wengi huko makazini, ninaomba nipambanie nipate pa kujishikiza sio lazima iwe kazi ya professional yangu. Akakubali. Nakumbuka nilimkumbusha mara 2 hivi akawa ananitajia nitaongea na Y na Z. Kumbe bwana Z ni mchepuko wake (hapo nilikua sijui).
Siku moja amerudi home toka kazini bwana Z akampigia simu mama mtoto nikiwa naye. Akapokea. Ila alivokua anaongea ilinipa mashaka kwasababu alikua anamjibu sivyo, mara kigugumizi (nadhani mnaelewa). Nikamwambia mbona unaongea hivo? Akanijibu ni mmoja wa niliyemuomba kazi kwa ajili yako. Tobaaa! Nikashangaa ndio unamjibu hivo? Hiyo kazi nitapata kweli? Nikawa interested kujua zaidi. Mama mtoto akaniambia tuingie ndani, akili yangu ikaniambia huyu anataka amtumie jamaa msg (kama vile nilikuwepo akilini mwake). Tukaingia room ila mwenzangu akatoka Sebuleni na simu yake mkononi, nami kwasababu nimejua lengo lake nikatoka pia nikaenda nje moja kwa moja. Haraka akarudi room kutoka Sebuleni. Nami sekunde kadhaa nikarudi haraka room. La haula! Nikampokonya simu, kweli akawa amemwandikia jamaa asipige simu sababu amekamatwa (alikuwa bado hajaituma kwa jamaa). Niliumia sana. Nikamkumbusha kuwa nilikuambia hii simu nina mashaka nayo na hata unachonielezea kwamba jamaa anakutongoza si kweli na hata macho yako yanaonesha unanidanganya. Akabaki hajui la kufanya.
Nilimtxt jamaa kwa maneno ya kuumiza sana ila hakujali wala nini. Mama mtoto alifuta ile namba ya jamaa. Nikasamehe. Zikapita wiki kadhaa. Jamaa akamtafuta tena mama mtoto na hapo mama mtoto alikua amenipatia simu yake (anataka niaminisha hana tena mawasiliano na jamaa). Nikawa interested kujua ukweli wa natafutiwa kazi au kuna lingine. Nikachat na jamaa kupitia simu ya mama mtoto. Aisee! Mwishowe nikagundua hawa ni aidha walikua au ni wapenzi. Nikarudi kwa mama mtoto aniambie ukweli wa hili. Kweli bwana mama mtoto akasema nilipokuwa Mkoa X sikuwa namtumia hela hivyo akawa na jamaa kwasababu alikua anampa hela (Niliumia sana, nashindwa kueleza ila mwanaume aliyechapiwa mkewe anajua maumivu haya). Nikajiuliza kumbe mimi ninapambana Mkoani, huku mwenzangu ana mahusiano mapya na anataka mchepuko wake uniunganishie kazi Ofisini kwao (hii ni dharau kubwa sana endapo ningepata kazi Ofisini kwa jamaa). Mama mtoto ana mshahara mzuri (1+M) lakini bado aliingia tamaa ya hela.
Nimeukubali ukweli huo, nikasamehe ila kusahau bado. Mwanamke nikamwambia kufuta namba ya jamaa wala si suluhisho. Ongea nae muelezee A, B, C. Akakubali. Siku moja tulipiga simu kwa jamaa akatublock.
Ni maumivu makali sana ninayo kwa kutokuwa na kazi. (Nimefupisha story, yanaumiza nikikumbuka zaidi).
Ninaombeni mnisaidie nipate kazi ili nisahau hilo jambo maana nitakuwa busy.
Nina tanguliza shukrani zangu za dhati kwenu wakuu.
Daah! Nimekuelewa vizuri sana Mkuu.Kama unatafuta kazi ili usahau alokufanyia mzazi mwenzako bado unakosea, haiwezi kuwa ni suluhisho. Huez kusahau tukio la kusalitiwa kwa kupata kaz, maana utaenda kazin utarudi home utamkuta mzaz mwenzako na kumbukumbu zitaendelea kuwepo. Kama lengo lako ni kumsahau na kusahau yalotokea, basi suluhisho ni wewe kuondoka hapo Home, ondoka bila hata kumuaga, nenda mkoani popote ukajitafute huko kwa jasho na damu huku ukimtanguliza Mungu kwa kila hatua naamin utapata tuu maana Mungu hakukuumba ili uje kuteseka duniani, ila changamoto n kwamba tunateseka kwasabbu hatujazijua njia zetu za mafanikio na ndo twatakiwa kuzitafuta bila kuchoka na silaha kubwa ikiwa ni kumwomba Mwenyezi Mungu sana.
Tafuta kazi ili uboreshe maisha yako na sio kwaajili ya kumsahau mkeo.
Halafu,, mwanamke had anakubali kumpanulia mwanaume mapaja basi ujue kampenda, na sio tamaa. Na ndo maana wadau wanashaur mwanamke akisha cheat basi ujue hana tena upendo kwako bali anakuigizia, na ataendelea tuu kama sio kwa huyohuyo basi ataendelea kwa wengine. WEKA AKILINI HILO.
USHAURI WANGU: Usiishi kwa mateso eti kwasabbu ya watoto, Teseka uwezavyo ila hao watoto wakikuwa wakubwa wataimba "NANI KAMA MAMA". Utakuwa umenielewa...
Ni kweli Mkuu. Nimefikiria baadhi ya ulivovitaja hapo. Ninaendelea kutafuta patakapopatikana nitapambana hapo hapoSifa ya mwanaume ni kua na pesa iwe kidogo isiwe kidogo, mwanaume hutakiwi kukosa pesa ya vitu kwa ajili ya familia,
Labda kama umepata maradhi huwezi simama.
Yani mtaani ni pagumu kwenye ndoa usiseme pambana tu ufanye hata saidia fundi, ufanye na biashara ambazo hazihitaji mtaji hapo kaa fikilia kuna uwinga, udalali wa nyumba, bodaboda kwa mkataba, na nyingine nyingi.
Tofauti na hivo eeeeeeh.
"Wanaume mmeumbwa mateso kuhangaika".
Kama wewe ni dada hujanielewa vizuri.Sababu ya kuchepuka kwa mkeo unayo sasa unashindwa kusahau vipi? Fungua kiduka cha mangi anzia hapo.
Ninakuelewa Mkuu.Duuuh.. Wanawake wanatamaa kwel, mshahara ziro 6 bdo alitaka pesa kwa mchepuko. KIMBIA HILO NI BOM MBELEN
Na shida sio pesa kwa mkeo alikuambia tu ili upoe, make anajua kukuset na ukatulza mshundu. KIMBIA HILO NI BOM MBELEN
Usiwe mnyonge kisa huna kazi na yey anakaz kua na msimamo wa kiume.
Pia unaonekana muoga wa maisha, hebu simama na ujipange kivyovyote uanze upya, ingia mitaan kwanza pga kaz yoyote usiangalie vyeti na mkeo atakuonaje maisha ni yako kwanza. ILA MKIMBIE ATAKUJA KUKULIPUA ashazoea za nje hawaachagi koz wenzetu wana mapepo.
nakupa