Ninapata kiungulia kikali nikila maharage, tatizo gani hili?

Ninapata kiungulia kikali nikila maharage, tatizo gani hili?

Hayo maganda ya nanasi unachanganya namaji kisha unachemsha au? Yakisha chemka ndo unachuja hayo maji kisha umachaganya na asali? Asali kiasi gani?
Yes unachanganya na maji then yakichemka unachuja, glass moja ya maji ya nanasi kwa kijiko kimoja cha asali.

Cha msingi usichoke kuchemsha, mimi niliiona uvivu ila nikajikaza now nimepona nakula chochote pilipili yaan kila kitu na nilienda kupima hakuna cha ulcers wala nini.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Yes unachanganya na maji then yakichemka unachuja, glass moja ya maji ya nanasi kwa kijiko kimoja cha asali.

Cha msingi usichoke kuchemsha, mimi niliiona uvivu ila nikajikaza now nimepona nakula chochote pilipili yaan kila kitu na nilienda kupima hakuna cha ulcers wala nini.
Kwako ulitumia hiyo tiba kwa mda gani wiki wiki mbili mwezi au
 
Duuu mimi tangu utoto wangu napata tatizo hili nikila maharage, mboga yenye nyanya nyingi nk
Mwenye kujua dawa ya uhakika tuambizane jmn (ila kusema tuje pm siyo poa weka hadharan kila mtu afaidike)
Mnaosema dalili za kansa jmn tunatishana mjue [emoji17] [emoji17] [emoji18] [emoji18] [emoji18] [emoji22]
Kiungulia kinatoka na acid na vyakula kama maharage,nyanya zina acid,sasa je hauna tatizo la vidonda vya tumbo?Kuna wingine wana udhaifu kwenye msuli unaofunga chakula kisirudi kwenye njia kuekea mdomoni,ukiwa na hii hali hata acid ya kawaida tumboni inaweza kurudi juu na kusababisha kiungulia
 
Hii hali inanitokea Sana nikila maharage au nikinywa chai napata kiungulia kwenye tumbo la juu karibu na kifua, nikimalza kunywa chai huwa nakunywa maji mengi ili kizuia maumivu but Kuna muda mpaka unasikia sauti ya tumbo la juu kunguruma.
Sijawahi kupima ulcers but huwa nahisi Ni ulcers
 
Kwa kutuliza kiungulia haraka haraka tumia tangawizi.. Tafuna mbichi.. Mi huwa natumia kila nikiskia kiungulia na kinakata fasta tu
 
Kiungulia kinatoka na acid na vyakula kama maharage,nyanya zina acid,sasa je hauna tatizo la vidonda vya tumbo?Kuna wingine wana udhaifu kwenye msuli unaofunga chakula kisirudi kwenye njia kuekea mdomoni,ukiwa na hii hali hata acid ya kawaida tumboni inaweza kurudi juu na kusababisha kiungulia
Sina vidonda vya tumbo...shida ipo kiungulia tumbo kujaa gesi (ingawa siyo mara zotee) tumbo kunguruma hasa nikiwa na njaa kali
 
Yes ni dalili ya ulcers aliesema kansa ya koo anakutisha.
Hatishwi ndio ukweli, chakula chenye acid kinaporudi juu(regurgitation) kinapounguza sehem ya oesophagus (lower third) kinasababisha squamous metaplasia ambayo inaenda stage ya pili inayoitwa "barrets oesophagus" baaa ya hapo kitakachofuata ni kansa na si vinginevyo.
 
Duuu mimi tangu utoto wangu napata tatizo hili nikila maharage, mboga yenye nyanya nyingi nk
Mwenye kujua dawa ya uhakika tuambizane jmn (ila kusema tuje pm siyo poa weka hadharan kila mtu afaidike)
Mnaosema dalili za kansa jmn tunatishana mjue [emoji17] [emoji17] [emoji18] [emoji18] [emoji18] [emoji22]
Sio vitisho mkuu,ni kweli,ila baada ya muda mrefu hasa kama hiyo hali ikiwa inajirudia rudia,cha muhimu ni kuacha kula hivyo vyakula vyenye asidi nyingi,ila harage nalo ukilizoe kuliacha ni kazi...!
 
Ugonjwa wako unaitwa Gastroesophageal reflux disease (GERD). Maharage ni acidic in nature sasa inapotokea reflux of that acidic food from the stomach baada ya kula kupitia cardiac sphincter acid hiyo huunguza surface ya oesophagus kwa kua epithelial surface ya oesophagus haiko adapted to acidic substances kama ilivyo surface ya tumbo, hii ni hatari kwani inaweza kukusababishia hali iitwayo barett's oesophagus ambayo inaweza kukusababishia kansa baadae (squamous cell carcinoma of oesophagus) , pia hali hii inaweza kukusababishia vidonda (oesophageal ulcers). Hali hii hutokea mara nyingi mtu anapolala flat baada ya kula au pia anapokula sana na kusababisha mfuko wa tumbo kujaa mpaka juu kabisa.

SULUHISHO
Epuka vyakula vyenye asili ya asidi au tumia vidonge vya kuneuralize acid kabla ya kulala na unywe maji mengi haraka mara tu unaposikia kiungulia ili kuepuka madhara hayo niliyoyaeleza juu
Pia kula chakula kwa kiasi tuu na epuka kulala mara tu baada ya kula au kama inakulazimu kulala basi tumia mto kuinua kichwa kidogo
Jamani mpendwa na Mimi nilikuwa na tatzo kama hilo la kuumwa baada ya kula marage sahivi nimetokewa na vidonda kwenye koo vinauna mpaka naskia maskio yanavuta nimetokewa pia na kiuvimbe shingoni cjui ndo mtoki hospital nilienda wakanipa tu pen v nmemaliza Bdo cjapona naomba nisaidie hapo nifanyaje maana naona una utaalamu
 
Hatishwi ndio ukweli, chakula chenye acid kinaporudi juu(regurgitation) kinapounguza sehem ya oesophagus (lower third) kinasababisha squamous metaplasia ambayo inaenda stage ya pili inayoitwa "barrets oesophagus" baaa ya hapo kitakachofuata ni kansa na si vinginevyo.
na hiii huchukua mda gani hdi kuwa kansa maana mimi kuna kipindi ilikuwa too much ila sio kama jamaa, ilikuwa ndani ya tumbo nsikia maumivu sehemu moja upande wa kulia inakuwa kama kidonda kwa ndani hivi hasa nikinywa maji ya baridi ghafla
 
na hiii huchukua mda gani hdi kuwa kansa maana mimi kuna kipindi ilikuwa too much ila sio kama jamaa, ilikuwa ndani ya tumbo nsikia maumivu sehemu moja upande wa kulia inakuwa kama kidonda kwa ndani hivi hasa nikinywa maji ya baridi ghafla
Kansa inatokea baada ya ugonjwa wa muda mrefu
 
Back
Top Bottom