Simba Mkali
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 620
- 239
- Thread starter
-
- #41
Hebu tafuta sehemu niliyosema milioni 2 ni hela nyingi kisha uje hapa. Sijasema masuala ya wageni. Sijasema suala la AC wala service. Hapa acha uzushi Mangi. Kama huna hoja nyamaza.Huyu bwana ulichomshauri ni technical sana kwa mujibu wa biashara yake. Huyu amejikuta ana gari, anakodisha hotel analipwa mil2 anaona ni hela nyingiiiii. Mil2 ukiendesha mwenyewe, mafuta juu yako, service juu yako, matairi na Wageni wanataka AC, ukiwa na gari ya CC 1500 kuna nini hapo?? Mshauri arasimishe biashara, mengine matokeo.
Ni ushauri wako. Ni mzuri ila bado sijafikiria hilo. Nikishindwa nitaangalia ushauri wako. Asante.Wewe unataka kukopa ili uongeze magari...kwanini usiongee na wadau humu ndani wenye magari wakupe kwa mkataba ili biashara yako ikue uwe hata na ofisi ndo ukope. Acha uchoyo. Nenda kamuulize Erick wa travel partner alifanyaje???
NMB hawez pata jaribu Akiba pia viwanja vyako katia hata Liz za vijij mana liz kubwa la halmashaur hawatoi akaunt yako inatakiwa iwe ina run uwe na biashaara zaid ya moja utapata mikopo freshWazo lako ni zuri sana, una uhakika ukichukua gari 3 zote zitapata wateja? Benki nyingi wanataka Bank Statement ndiyo waamini kuwa unamzunguko wa pesa kiasi unachosema, then wanakokotoa ni kiasi gani unaweza kulipa bila kuathiri maisha yako. Kama unataka mikopo anza kuweka pesa yako benki, otherwise kama mke wako ni mwajiriwa mtumie yeye kuchukua mkopo. Lakini jambo la msingi jitahidi sana kuirasimisha biashara yako. Hebu tembelea NMB na Postal Bank, ongea vizuri na afisa mikopo.
. Siku zote usiseme usichokijua. Usiisemee nafsi ya mwenzio kwani usichokijua ni sawa na usiku wa kiza. Ninashukuru kwa kunielekeza sehemu ya kwenda kukopa.Hujaelewa,.. Ukiingia mkataba na hotel ya kuwakodishia magari wewe unakuja default vendor. Yaani hata wakitaka basi watakwambia upeleke. Huyo mleta mada anafanya kienyeji ndo maana anakosa hati za kuombea mkopo. Nina maana huyu Hana hata faili la invoice na tax kwa hiyo akilipwa anakula na wake zake maisha yanaenda. Lakini hajui kuwa kuna finance inst. ambazo zinakopesha kwa kuangalia biz flow. Ninajenga hoja hapa kuwa Kama akiwa na logo na akapewa magari na watu kwa mkataba mzuri ni rahisi kujiimarisha na kupata ofisi. Kama hujaelewa basi.
Thanks kwa ushauri.Wazo lako ni zuri sana, una uhakika ukichukua gari 3 zote zitapata wateja? Benki nyingi wanataka Bank Statement ndiyo waamini kuwa unamzunguko wa pesa kiasi unachosema, then wanakokotoa ni kiasi gani unaweza kulipa bila kuathiri maisha yako. Kama unataka mikopo anza kuweka pesa yako benki, otherwise kama mke wako ni mwajiriwa mtumie yeye kuchukua mkopo. Lakini jambo la msingi jitahidi sana kuirasimisha biashara yako. Hebu tembelea NMB na Postal Bank, ongea vizuri na afisa mikopo.
> Asante kuna mtu amenishauri hivyo.Nenda Eupity Hakuna longolongo
Nimesema HOTELI niko mwaka wa tatu sasa. Rene Jr acha mawazo potofu... hivi kwanini Watz tuko hivi tunapenda kudhaniadhania tu... humu kweli kuna great thinker? Hii shida sana. Next time nitafikiria mara mbilimbili kuleta hoja za maana humu.Hahahha, huo ni mjadala mwingine, wa hotel na guest house! Inaweza kuwa Hotel lakini wakawa wamewekeana misingi tu kwamba pesa isiyozidi kiasi fulani inaweza kulipwa cash kwa mhasibu, na bado ikawa Hotel. Hotels zingine zimeweka mikakatii ya kuwasaidia locals kuuza bidhaa zao kirahisi hotelini ili nao wanufaike na uwepo wa hotel maeneo yao, na wanalipwa cash, hilo halidisqualify hotel kuitwa hotel!! Kikubwa cha msingi ni huyu bwana kama anataka atambulike na akopesheke kirahisi kwenye taasisi za fedha anatakiwa arasimishe biashara yake.
Nadhani haujanielewa tu, nilikuwa namjibu huyo jamaa aliyesema Hotel hawawezi kulipa cash mkononi itakuwa Guest. BTW, hata mimi nafanya kazi na Hotels kadhaa mkuu, japo kwa biashara yofauti. Nina kampuni ya Safety and Security, mara ya mwisho technician wangu amepewa 1.8M na Hotel moja Z'bar, cash mkononi baada tu ya kukabidhi kazi!! Nachomaanisha kurasimisha biashara ni kusajili Brela, TRA na mamlaka zingine husika, then unafungua akaunti ya kampuni Bannk, namna hiyo itakuwa rahisi wao kukupa mkopo kwa sababu mzunguko wako wa pesa unajulikana.Nimesema HOTELI niko mwaka wa tatu sasa. Rene Jr acha mawazo potofu... hivi kwanini Watz tuko hivi tunapenda kudhaniadhania tu... humu kweli kuna great thinker? Hii shida sana. Next time nitafikiria mara mbilimbili kuleta hoja za maana humu.
Swali zuri sana.., lakini hatajibu chochote cha maana ...Sasa mjomba kama unaingiza 2 mil kwa mwezi unashindwaje kuongeza gari nyingine?
Mh!Sasa mjomba kama unaingiza 2 mil kwa mwezi unashindwaje kuongeza gari nyingine?
wewe bishara yako ndogo, anza kuomba mkopo kidogo then unapanda. anza kuomba 15 mln. lakini yawezekana uwezo wako wa kuserve hela katika account sio mkubwa. nenda NMB au CRDB jamaa hawana shida.Nyumba ninayo ila inatambulika na serikali ya mtaa. kiwanja kingine ninacho pia kinatambulika na serikali ya mtaa. Basi.
Nawashukuru wote kwa michango yenu. Niwatakie kila la heri.
Labda tuungane.. Mie nina nissan patrol inapaki tu maskan, naitembelea kidogo sana sababu mie sio mtu wa misele na mitoko kivile..
Issue sio kutambulika..,zina HATI hivi vitu mkuuNyumba ninayo ila inatambulika na serikali ya mtaa. kiwanja kingine ninacho pia kinatambulika na serikali ya mtaa. Basi.
Issue sio kutambulika..,zina HATI hivi vitu mkuu