Simba Mkali
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 620
- 239
- Thread starter
- #41
Hebu tafuta sehemu niliyosema milioni 2 ni hela nyingi kisha uje hapa. Sijasema masuala ya wageni. Sijasema suala la AC wala service. Hapa acha uzushi Mangi. Kama huna hoja nyamaza.Huyu bwana ulichomshauri ni technical sana kwa mujibu wa biashara yake. Huyu amejikuta ana gari, anakodisha hotel analipwa mil2 anaona ni hela nyingiiiii. Mil2 ukiendesha mwenyewe, mafuta juu yako, service juu yako, matairi na Wageni wanataka AC, ukiwa na gari ya CC 1500 kuna nini hapo?? Mshauri arasimishe biashara, mengine matokeo.