Ninapata milioni mbili kila mwezi nimeomba mkopo nimenyimwa

Sio lazima uwe na hati mkuu,,kuna kitu kinaitwa residential permit(kibali cha makazi) vinatolewa kwa maeneo ambayo hayajapimwa but watu wameshayaendeleza(kwa kujenga nyumba za kuishi specifically)

Hicho kibali cha makazi kinatosha kuchukulia mkopo
Nilikwenda CRDB Morogoro mjini kwa hiyo Residential permit waliikataa.,
 
Unajua kwa nn walikwambia labda uwe na gari2?
 
Mil 2 ÷ siku 26 za mwezi = 76,000 kwa siku.

Kwenye Karatasi tamu, kwenye uhalisia je??

Mbona pesa kdogo sana hiyo! Wewe hamini nini hapo?
Hujui kuna watu wanapata mpaka million 100 kwa mwezi sasa fanya mahesabu yako upate kwa siku, na bado wapo wa juu yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…