Ninapata wakati mgumu na X's, nipeni msaada

Ninapata wakati mgumu na X's, nipeni msaada

Wasalaam,

Iko ivi mi ni kijana kati ya 30 to 35yrs old,
Nimekua kwenye mahusiano mbali mbali kwa wanawake wasio pungua 13...

Nikijana ambaye bado najitafuta, kuhonga siwezi ila matumizi ya pamoja hayanishindi

Kwasasa ninamahusiano na demu ambaye nnaweza jumuoa akitulia lakini...

Shida inakuja ni usumbufu kutoka kwa ma X zangu, wamekua wakinisumbua saana wakitaka turudiane ama tuwe tunapasha viporo, najaribu kuwa weka wazi kwamba nini mtu lakini bado haisaaidii yaani kila anayegeuka X hua hakubali ku move on...

Sababu kuubwa zinazo nifanya niachane nao ni mkwanja (pesa) maana sina hela yakuwanunulia ata pafyumu hivo huamua kunichanganya na wanaowahonga na kisha nawapiga chini mazima...

Nina huruma saana hasa wakinijia kiupole kuna wakati hua natamani kuwapa wanachotaka lakini nikiwaza kurudia matapishi ni bora nianze upyaaa

Mnisaidie sasa nifanyeje ili waache kunisumbua au ni kitu gani hutokea kwa mwanamke pale anapoamua kurudi kwa X wake baada ya kuhangaika huko bili kujali kama mwanaume ako tayari na mtu mwingine?

#Thamani ya mtu ni utu na si kitu[emoji179]
Nilikuja haraka nikidhani changamoto ya iphone XS
Kuanza kusoma daaah
 
Miaka 35 mademu 13, unakichaa?Hiyo idadi ya mademu nlipiga nkiwa sekondari,chuo ndio nilihit my first 100,Hebu acha porojo mkuu.
 
K utaiona tuu na pia kua flexible kuonesha mtazamo wa kua na mahusiano mengi kwa mwanake ni kawaida then atafungukaw
Wengi hawasemagi ukweli

Atakwambia wewe ni mwanaume wangu wa pili ili tu usimwone malaya.

Ila ukweli unakuta ni zaidi ya 10.

Na kingine akishakuambia ukweli ndiyo itakuwa chanzo wa kumwacha.

In fact hata ukinambia umetembea na wanaume 30 sidhani kama nitaendelea kuwa na wewe.

Kuhusu kuitambua K, siku hizi hata ambao hajawatembea na wanaume wengi unaweza kuta ana K pana tu mpaka utashangaa.


Kwa hiyo hapo napo ni kubeti tu
 
Back
Top Bottom