Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Naomba laki hapo kama unayo dearSiwatamani ila wananivuruga tuu kwa huruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba laki hapo kama unayo dearSiwatamani ila wananivuruga tuu kwa huruma
Wilaya ya ArumeruKumbe kisimiri ipo meru?
Muuzie k huyo chap utaona akakupa hiyo lakiNaomba laki hapo kama unayo dear
Soma vizuri thread yangu huruma hio sinaga mzeeNaomba laki hapo kama unayo dear
Kwenye story tuu atakuambiaUtajuaje ametembea na wanaume zaid ya watano?
Please baba JSoma vizuri thread yangu huruma hio sinaga mzee
K haiuzwi, inakodishwa tu....we ushawahi kununua?Muuzie k huyo chap utaona akakupa hiyo laki
Mi ni mangi ujuePlease baba J
Na mie ni binti wa kitanga dear, nakuja inboxMi ni mangi ujue
Karibu saana 😁😁Na mie ni binti wa kitanga dear, nakuja inbox
Sasa mkuu utajuaje kuwa huyu katembea na wangapi mbona changamoto sanaUsiwasikilize hao uoe haraka wakusimange.... kuoa ua pale unajiskia kuoa n kabla ya kuoa chunguza tabia za demu ka demu ashatembea na madume zaid ya watano huyo hatojua dhamani ya ndoa
Nilikuja haraka nikidhani changamoto ya iphone XSWasalaam,
Iko ivi mi ni kijana kati ya 30 to 35yrs old,
Nimekua kwenye mahusiano mbali mbali kwa wanawake wasio pungua 13...
Nikijana ambaye bado najitafuta, kuhonga siwezi ila matumizi ya pamoja hayanishindi
Kwasasa ninamahusiano na demu ambaye nnaweza jumuoa akitulia lakini...
Shida inakuja ni usumbufu kutoka kwa ma X zangu, wamekua wakinisumbua saana wakitaka turudiane ama tuwe tunapasha viporo, najaribu kuwa weka wazi kwamba nini mtu lakini bado haisaaidii yaani kila anayegeuka X hua hakubali ku move on...
Sababu kuubwa zinazo nifanya niachane nao ni mkwanja (pesa) maana sina hela yakuwanunulia ata pafyumu hivo huamua kunichanganya na wanaowahonga na kisha nawapiga chini mazima...
Nina huruma saana hasa wakinijia kiupole kuna wakati hua natamani kuwapa wanachotaka lakini nikiwaza kurudia matapishi ni bora nianze upyaaa
Mnisaidie sasa nifanyeje ili waache kunisumbua au ni kitu gani hutokea kwa mwanamke pale anapoamua kurudi kwa X wake baada ya kuhangaika huko bili kujali kama mwanaume ako tayari na mtu mwingine?
#Thamani ya mtu ni utu na si kitu[emoji179]
Ndo zenyewe sasaNilikuja haraka nikidhani changamoto ya iphone XS
Kuanza kusoma daaah
Ya nn sasa??Hongera
K utaiona tuu na pia kua flexible kuonesha mtazamo wa kua na mahusiano mengi kwa mwanake ni kawaida then atafungukaSasa mkuu utajuaje kuwa huyu katembea na wangapi mbona changamoto sana
😀Mhh na hao ni ndani ya mwaka mmoja tuu
Wengi hawasemagi ukweliK utaiona tuu na pia kua flexible kuonesha mtazamo wa kua na mahusiano mengi kwa mwanake ni kawaida then atafungukaw
Kwani haupendiVyote ivo nimejaribu wakawa wananihonga mm