Ninapitia msongo mkali wa mawazo baada ya kusimamishwa kazi kisa vyeti feki. Naomba ushauri niweze kujikwamua

Ninapitia msongo mkali wa mawazo baada ya kusimamishwa kazi kisa vyeti feki. Naomba ushauri niweze kujikwamua

PGDE.
Ni mdogo wangu na si mwanangu.
Cha umuhimu ni kuwa nahitaji ajira na uhitaji.
Kama unaweza kunisaidia sawa ila kama utaona haikupendezi basi usinizibie riziki kwa wanaotaka kunisaidia.
Ila wewe dada mwongo sana! Una diploma ya education ambayo uliipata pale UDSM baada ya kujiendeleza. Hapa sasa unasema una PGD ya Education. Ni wapi ambako mtu alitoka certificate akaenda kusomea PGD? Rekebisha kwanza wasifu wako!
 
Usiwe mwepesi wa kuhukumu bado Kuna baadhi ya maelezo yanaeleweka vizuri, mpe moyo maisha yanabadilika.
Screenshot_2025-01-12-12-22-00-404_com.android.chrome~2.jpg


Anacheza na akili zenu ndo maana anacheka....anafurahia anavyowachezea. Angalia hiyo emoj hapo chini. Huyo ni muongo.
 
Mleta uzi ni tapeli asiye na akili.

Ili uwe tapeli tena wa kuwatapeli wanaJF, basi uwe guru katika kutengeza uongo unaoendana na ukweli kwa zaidi ya 90%. Basi hata uchukue hela zao ila ukitumia akili nyingi katika strategy zako.

Haiwezekani abadani ukasoma UDSM Diploma.

Nimeuliza anasema eti ni PGD.
Post Graduate bila Degree? Ama bila Advanced Diploma? Aisee!.

Anachodai alitumia cheti cha mtu kwa sababu chake kiliteketea, hii inamake sense kwa wapuuzi wenzake tu.

Anadai wazazi wake walimuacha na mdogo wake. Huku gap yake yeye na mdogo wake wa KIPEKEE ni zaidi ya miaka 25, hii inakuingia akilini? Kama ndiyo, basi wewe ni mpuuzi pia.

Mtoa mada, anatumia sensitiveness ya swala la kujiuza. Kuwa idadi kubwa ya wanajamii hawawezi na kamwe wasingetaka mtu aliyeacha kujiuza ila arudi huko. Hivyo, anataka huruma ya jamii juu yake.

Huu ni ukuda. Upumbavu wa ajabu.
Hii ya kujiuza imeingia ili kuwaapproach wanaume. Na wengi watazama ktk mtego huo.
 
PGDE.
Ni mdogo wangu na si mwanangu.
Cha umuhimu ni kuwa nahitaji ajira na uhitaji.
Kama unaweza kunisaidia sawa ila kama utaona haikupendezi basi usinizibie riziki kwa wanaotaka kunisaidia.
Kweli we una stress kali sana😄😄 au lah hujui unachoandika... umetumia cheti cha form four cha mtu kusoma Diploma UD, sasa hivi unasema ni Post Graduate Diploma/Degree In Education tena UD, acha ungese... Usitufanye wajinga humu...
 
Back
Top Bottom