Ninapitia msongo mkali wa mawazo baada ya kusimamishwa kazi kisa vyeti feki. Naomba ushauri niweze kujikwamua

Ninapitia msongo mkali wa mawazo baada ya kusimamishwa kazi kisa vyeti feki. Naomba ushauri niweze kujikwamua

Na katika kuwakumbusha members warembo wa jf, ambao saiz ni pisi kali.

Katika age hii, kama hujaolewa ni kipindi kigumu sana maishani.

Kuna baridi nyingine itakupiga hutoamini, tutakua tukikutaza nje una tabasamu tele, lakini ndani rohoni utakua na maumivu hayaelezeki.

Kila siku unaona jirani zako wanagombana mara wanabebishana na waume zao, wewe umekaa hapo pembeni unabwekewa tu kimbwa chako ki chihuahua.

Wadogo zangu wa kike, mjinga mmoja wa kiume akitokea anataka kukuoa usijifanye bado unakula ujana, kuna kipindi hata uliowakataa utawakumbuka na hautowapata.

Mungu akikujalia ukawa na visenti ndio utaishia kuwa mshangazi, unachukua vitoto vya wanawake wenzio unavivulia chupi, unavinyonya vyota zao tu.
Cc. Evelyn salt, money penny na wengine
Waione kwenye jarada na wenzie
 
Ningeweza kuweka hata ushahidi wa hiki ninachosema hapa hadharani, ila kwa kuwa umeshasema mimi ni mpuuzi naona haina haja.
Ila jua tu kuwa nilisomea ualimu kwa kutumia cheti cha form 4 cha mtu na ndio hikohiko nikapanda nacho.
Silazimishi ukubaliane nami ila mimi ndio ninaejua ukweli.
Miss Natafutwa kuna watu wanahisi wewe ni tapeli na kuna wanaosema siyo tapeli. Je, akitokea member akakuambia umpe jina la shule anayosoma mdogo wako na jina lake kwa kutumia private message ili akamlipie ada utampa? Kama utampa uko tayari akienda amhoji ili kujua ukweli wa haya unayosema? (hata mention mambo ya kujiuza)
 
Miss Natafutwa kuna watu wanahisi wewe ni tapeli na kuna wanaosema siyo tapeli. Je, akitokea member akakuambia umpe jina la shule anayosoma mdogo wako na jina lake kwa kutumia private message ili akamlipie ada utampa? Kama utampa uko tayari akienda amhoji ili kujua ukweli wa haya unayosema? (hata mention mambo ya kujiuza)
NDIO, NIPO TAYARI.
NIPO TAYARI
 
Miss Natafutwa kuna watu wanahisi wewe ni tapeli na kuna wanaosema siyo tapeli. Je, akitokea member akakuambia umpe jina la shule anayosoma mdogo wako na jina lake kwa kutumia private message ili akamlipie ada utampa? Kama utampa uko tayari akienda amhoji ili kujua ukweli wa haya unayosema? (hata mention mambo ya kujiuza)
Mkuu huyo ni tapeli huoni huo mlolongo na content ya matukio...
 
Habari wana Jf kwa ujumla.
Sina muda mrefu tangu nijiunge na jumuia hii chini ya kaka Max.

Ni hivi, napitia msongo mkali sana wa mawazo yaani nikisema ni mkali namaanisha.

First of all nilikuwa muajiriwa serikalini na likapita suala la vyeti feki hapo nilikuwa natumia cheti cha mtu na kazi ikawa ndio basi.
Sababu nilipoteza wazazi ikabidi ile akiba niliyojiwekea kipindi nafanya kazi niitumie kwa ajili ya kumsomesha mdogo wangu ambae niliachiwa na wazazi pamoja na kununua kiwanja tu.

Hali ikazidi kuwa mbaya zaidi, ikabidi niingie kwenye kazi ya kujiuza.
Nilichokuwa nafanya ni kumuandalia mdogo wangu sare za shule na pesa ya matumizi usiku ili hata kama nitarudi asubuhi au kama sitarudi kabisa basi apate kujiandaa na kwenda shule (shule na nyumbani ni kama km 1 tu) mwenyewe.
Nilifanya hiyo kazi kwa miaka 6, nikapata pesa na kuanza ujenzi wa nyumba yangu ya kuishi pamoja na mdogo wangu.

Shida imeanza tena, nyumba haijakamilika na pesa zote nimemaliza na mdogo wangu mwaka huu anaingia kidato cha 3.
Sitaki tena kurudi kule nilipotoka (kujiuza).
Nahitaji mdogo wangu akue bila kujua nafanya nini.
Pia nahitaji kumalizia nyumba

Kama kuna mtu ana uhitaji wa mtu wa kufanya kazi naomba nipewe ajira.
1. Nina diploma ya Education niliyoipata pale UDSM kabla sijatumbuliwa.

2. Nina uzoefu katika kulea watoto na pia ninajua sana upishi (nilisomea hotel management kabla sijaenda kusomea ualimu)
Umri wangu ni miaka 42 na niko Morogoro.
Asanteni.
Wee utanifaaa nicheki pm tuyajenge.
 
Mkuu huyo ni tapeli huoni huo mlolongo na content ya matukio...
Sipingi moja kwa moja mkuu. Na uchangamfu wake wa kuwa kwenye thread muda wote huku akijibu kila comment unatia mashaka zaidi. Anyways, kuna watu wengine huwa wanaanzisha thread za aina hii ili tu kufurahisha baraza kwani zinakuwaga na wachangiaji wengi.
 
Back
Top Bottom