Ninapitia msongo mkali wa mawazo baada ya kusimamishwa kazi kisa vyeti feki. Naomba ushauri niweze kujikwamua

Ninapitia msongo mkali wa mawazo baada ya kusimamishwa kazi kisa vyeti feki. Naomba ushauri niweze kujikwamua

Mleta uzi ni tapeli asiye na akili.

Ili uwe tapeli tena wa kuwatapeli wanaJF, basi uwe guru katika kutengeza uongo unaoendana na ukweli kwa zaidi ya 90%. Basi hata uchukue hela zao ila ukitumia akili nyingi katika strategy zako.

Haiwezekani abadani ukasoma UDSM Diploma.

Nimeuliza anasema eti ni PGD.
Post Graduate bila Degree? Ama bila Advanced Diploma? Aisee!.

Anachodai alitumia cheti cha mtu kwa sababu chake kiliteketea, hii inamake sense kwa wapuuzi wenzake tu.

Anadai wazazi wake walimuacha na mdogo wake. Huku gap yake yeye na mdogo wake wa KIPEKEE ni zaidi ya miaka 25, hii inakuingia akilini? Kama ndiyo, basi wewe ni mpuuzi pia.

Mtoa mada, anatumia sensitiveness ya swala la kujiuza. Kuwa idadi kubwa ya wanajamii hawawezi na kamwe wasingetaka mtu aliyeacha kujiuza ila arudi huko. Hivyo, anataka huruma ya jamii juu yake.

Huu ni ukuda. Upumbavu wa ajabu.
 
Pole sana dada ALLAH akunusuru.

Hebu anza kufanya yafuatayo

1. Jifunze kutengeneza keki, utaweza kusupply kwenye birthdays, harusi, etc

2. Biashara ya chakula inalipa, tafuta sehemu nzuri yenye watu wengi uanze kupika.

3. Kusanya kuku wa kienyeji huko Morogoro uwe unawaleta Dar kuwauza. Baadae unaweza kuwa unakusanya mbuzi huko mikoa ya jirani na dar unawalera dar unauza

4. Njoo Dar tafuta soko moja utafute meza uwe unauza viazi vya chips etc. Kwa siku unawezankuuza hata gunia

5. Anza kutengeneza vitafunio kama vile maandazi etc, uwe unasambaza ktk maduka kadhaa wanakuuzia

Mtangulize Mungu mbele atakusaidia Insha Allah.
Hivyo vyote vinahitaji pesa
Pole sana dada ALLAH akunusuru.

Hebu anza kufanya yafuatayo

1. Jifunze kutengeneza keki, utaweza kusupply kwenye birthdays, harusi, etc

2. Biashara ya chakula inalipa, tafuta sehemu nzuri yenye watu wengi uanze kupika.

3. Kusanya kuku wa kienyeji huko Morogoro uwe unawaleta Dar kuwauza. Baadae unaweza kuwa unakusanya mbuzi huko mikoa ya jirani na dar unawalera dar unauza

4. Njoo Dar tafuta soko moja utafute meza uwe unauza viazi vya chips etc. Kwa siku unawezankuuza hata gunia

5. Anza kutengeneza vitafunio kama vile maandazi etc, uwe unasambaza ktk maduka kadhaa wanakuuzia

Mtangulize Mungu mbele atakusaidia Insha Allah.
Hivyo vyote vinahitaji pesa! Au ndiyo auze kibanda chake apate msingi?.
 
Mungu akinipa muhitaji, nitaishi nae.
Ila kwa hali hii na umri huu nadhani sijui kama itawezekana.
Umri umeshaenda sana.
Umri haujaenda hata kidogo acha utani. Kuna watu wanaume wengi walio kwenye umri wako au zaidi wakiwa wanatafuta wenza. Wengine ndoa zao zilikuwa na matatizo na wengine wamefiwa na wake na wengine hawajaoa kabisa. Ila usilazimishe hata kidogo. Wewe jitahidi kupata cha kufanya, mwenza atakuja mwenyewe.
 
Mungu akinipa muhitaji, nitaishi nae.
Ila kwa hali hii na umri huu nadhani sijui kama itawezekana.
Umri umeshaenda sana.
Kuna jirani yangu hapa kaolewa ndoa harusi nzuri kabisa tumecheza. 42 bado kabisa ukilinganisha na huyu yeye Ana 48 na baada ya ndoa kanenepa mno maisha yamebadilika kabisa. Mrudie Mungu then tafuta mwenza
 
Mleta uzi ni tapeli asiye na akili.

Ili uwe tapeli tena wa kuwatapeli wanaJF, basi uwe guru katika kutengeza uongo unaoendana na ukweli kwa zaidi ya 90%. Basi hata uchukue hela zao ila ukitumia akili nyingi katika strategy zako.

Haiwezekani abadani ukasoma UDSM Diploma.

Nimeuliza anasema eti ni PGD.
Post Graduate bila Degree? Ama bila Advanced Diploma? Aisee!.

Anachodai alitumia cheti cha mtu kwa sababu chake kiliteketea, hii inamake sense kwa wapuuzi wenzake tu.

Anadai wazazi wake walimuacha na mdogo wake. Huku gap yake yeye na mdogo wake wa KIPEKEE ni zaidi ya miaka 25, hii inakuingia akilini? Kama ndiyo, basi wewe ni mpuuzi pia.

Mtoa mada, anatumia sensitiveness ya swala la kujiuza. Kuwa idadi kubwa ya wanajamii hawawezi na kamwe wasingetaka mtu aliyeacha kujiuza ila arudi huko. Hivyo, anataka huruma ya jamii juu yake.

Huu ni ukuda. Upumbavu wa ajabu.
Hujaona ndugu wanatofautina umri kwa miaka 25?.
 
Wewe ndo pia Miss Natafuta umeona ubadilishe kidogo jina? Halafu umejichanganya. Kuwa ulitumia cheti. Ulikuwa na cheti fake. Sasa unasema una Diploma ya Education toka UDSM. labda miaka yenu hii UDSM imeanza kutoa Diploma. Miaka yetu haikuwa inatoa Diploma. Upo hapa kutafuta watu wajiingize kuliwa.
Mwenyewe mkuu nimehamaki kidg script yake kashindwa kuipangilia vizuri labda cheti cha mtu diploma UDSM lkn hata hivyo UDSM labda miaka yake ndio kulikua na diploma inafundishwa.

Any way anahitaji msaaada kwa vyovyote wa tanzania ni watu wenye upendo sana
 
Pole sana dadq,
Huna mtoto?

At 42 jitahidi usipate depression, kuanzia 35-55 usipoangalia depression itakumaliza sababu ni umri wa kusahihisha makosa, ikitokea ukakosea zaidi unaangukia kwenye depression.

Tafuta kazi halali, hata ndogo ya kuingiza kipato ufanye. Ukirudi kwenye kujiuza na umri huo ni hatari kwako.
Na katika kuwakumbusha members warembo wa jf, ambao saiz ni pisi kali.

Katika age hii, kama hujaolewa ni kipindi kigumu sana maishani.

Kuna baridi nyingine itakupiga hutoamini, tutakua tukikutaza nje una tabasamu tele, lakini ndani rohoni utakua na maumivu hayaelezeki.

Kila siku unaona jirani zako wanagombana mara wanabebishana na waume zao, wewe umekaa hapo pembeni unabwekewa tu kimbwa chako ki chihuahua.

Wadogo zangu wa kike, mjinga mmoja wa kiume akitokea anataka kukuoa usijifanye bado unakula ujana, kuna kipindi hata uliowakataa utawakumbuka na hautowapata.

Mungu akikujalia ukawa na visenti ndio utaishia kuwa mshangazi, unachukua vitoto vya wanawake wenzio unavivulia chupi, unavinyonya vyota zao tu.
 
PGDE.
Ni mdogo wangu na si mwanangu.
Cha umuhimu ni kuwa nahitaji ajira na uhitaji.
Kama unaweza kunisaidia sawa ila kama utaona haikupendezi basi usinizibie riziki kwa wanaotaka kunisaidia.
Juzi kati hapa nyuzi zako zilionyesha kwamba una mtoto mchanga. Ni sahihi au nilikusoma vibaya?
Pole sana mpendwa.
 
Asante sana kipenzi.
Hapana, ni kwamba niliuziwa cheti cha mtu aliyemaliza form 4 nikaenda nacho kusomea ualimu ngazi ya certificate na diploma kwa kutumia jina lake.
Kipindi hiko mimi nilikuwa nimemaliza kidato cha nne miaka kama 3 iliyopita na cheti changu kilichomwa moto na msichana wetu wa kazi.
Hivo nilipanda na jina lake mpaka kufikia ngazi ya diploma (katika kujiendeleza) ndipo nikatumbuliwa hukohuko.
Ok udsm wanatoa dip hiyo maake naona watu wanataka kujua ?
 
Back
Top Bottom