Ila wewe dada mwongo sana! Una diploma ya education ambayo uliipata pale UDSM baada ya kujiendeleza. Hapa sasa unasema una PGD ya Education. Ni wapi ambako mtu alitoka certificate akaenda kusomea PGD? Rekebisha kwanza wasifu wako!PGDE.
Ni mdogo wangu na si mwanangu.
Cha umuhimu ni kuwa nahitaji ajira na uhitaji.
Kama unaweza kunisaidia sawa ila kama utaona haikupendezi basi usinizibie riziki kwa wanaotaka kunisaidia.
Usiwe mwepesi wa kuhukumu bado Kuna baadhi ya maelezo yanaeleweka vizuri, mpe moyo maisha yanabadilika.
Halafu bado anajiita Miss!na anamiaka arobaini point
nchi inavituko hii
😁Aiseee hao nao ni wanasaikolojia kama min me na poor brain?
Maana kuna mdau kumuunganisha mtoa madam na madhabahu za wataalamu wa saikolojia
Acha zako.View attachment 3199529
Anacheza na akili zenu ndo maana anacheka....anafurahia anavyowachezea. Angalia hiyo emoj hapo chini. Huyo ni muongo.
huyu labda atawaokota waleviHalafu bado anajiita Miss!
Hii ya kujiuza imeingia ili kuwaapproach wanaume. Na wengi watazama ktk mtego huo.Mleta uzi ni tapeli asiye na akili.
Ili uwe tapeli tena wa kuwatapeli wanaJF, basi uwe guru katika kutengeza uongo unaoendana na ukweli kwa zaidi ya 90%. Basi hata uchukue hela zao ila ukitumia akili nyingi katika strategy zako.
Haiwezekani abadani ukasoma UDSM Diploma.
Nimeuliza anasema eti ni PGD.
Post Graduate bila Degree? Ama bila Advanced Diploma? Aisee!.
Anachodai alitumia cheti cha mtu kwa sababu chake kiliteketea, hii inamake sense kwa wapuuzi wenzake tu.
Anadai wazazi wake walimuacha na mdogo wake. Huku gap yake yeye na mdogo wake wa KIPEKEE ni zaidi ya miaka 25, hii inakuingia akilini? Kama ndiyo, basi wewe ni mpuuzi pia.
Mtoa mada, anatumia sensitiveness ya swala la kujiuza. Kuwa idadi kubwa ya wanajamii hawawezi na kamwe wasingetaka mtu aliyeacha kujiuza ila arudi huko. Hivyo, anataka huruma ya jamii juu yake.
Huu ni ukuda. Upumbavu wa ajabu.
Huenda shida ipo pia kwenye vipaumbele vyake.Pole sana mpendwa, Mungu akufanyie wepesi kwa kila jambo.
Ungejaribu hata vibiashara vidogo vidogo sokoni.
Bado mbichi wewe nakuja dmMungu akinipa muhitaji, nitaishi nae.
Ila kwa hali hii na umri huu nadhani sijui kama itawezekana.
Umri umeshaenda sana.
Asante sana mpendwa, nashukuru sana.
Nina imani wenye uhitaji watanisikia na kunishika mkono.
Nashukuru sana.
Ni changamoto tu za dunia, nina imani zina mwisho.
Asante sana
Sawaa mkuuu
Unataka kunioa au??Cc. Evelyn salt, money penny na wengine
Waione kwenye jarada na wenzie
Itapendeza mnoo kama tuta matchUnataka kunioa au??
Kweli we una stress kali sana😄😄 au lah hujui unachoandika... umetumia cheti cha form four cha mtu kusoma Diploma UD, sasa hivi unasema ni Post Graduate Diploma/Degree In Education tena UD, acha ungese... Usitufanye wajinga humu...PGDE.
Ni mdogo wangu na si mwanangu.
Cha umuhimu ni kuwa nahitaji ajira na uhitaji.
Kama unaweza kunisaidia sawa ila kama utaona haikupendezi basi usinizibie riziki kwa wanaotaka kunisaidia.
Walevi tuna mioyo mizuri ndio maana unaona omba omba wengi wapo bar kuliko kanisani 😁😁huyu labda atawaokota walevi
Ushatoa code..... daaaahNdio ni madaktari pale muhimbili
hzo ndo tashtit zenyewe sasa.na anamiaka arobaini point
nchi inavituko hii