Mr perfect
Senior Member
- May 17, 2013
- 152
- 141
Tafadhali msichanganye kitengo cha Jeshi cha Navy na kitengo cha Jeshi la Zimamoto na Uokozi...Ni vitengo viwili tofauti na vipo wizara mbili tofauti...
Mara nyingi Jeshi la JWTZ hushirikishwa kwenye uokozi wa mambo ya kiraia, kwa sababu wao hupitia mafunzo ya uokozi katika aina tofauti tofauti za majanga na wana divers pia lakini hilo sio jukumu lao la msingi...
Funguka mkuu, labda itasaidia kurekebishaπTatizo kubwa sana, kw ufupi usalama wa raia ( uhai ) kuwa salama sio muhimu kwa hili taifa, navy pale π₯²π₯²π€π€π€
Ni huzuni sana!Maswali ya kujiuliza ni mengi.
Usiniponze , nchi ya mapambio hii, ukikosoa au kueleza ukweli jiandae kisaikolojia lolote laweza kukupataFunguka mkuu, labda itasaidia kurekebishaπ
Kwa maelezo yako nimeelewa kwamba Jeshi la zimamoto na uokozi ndo lenye wajibu wa kuokoa watu kwenye majanga ya majini.
Nipo sahihi?
Jilipue kwa faida ya nchi yakoUsiniponze , nchi ya mapambio hii, ukikosoa au kueleza ukweli jiandae kisaikolojia lolote laweza kukupata
Ni jeshi la majini,lipo kwa ajili ya Vita vya majini siyo kuokoa ndege au mvuvi anayezamaNaomba kufahamishwa kazi ya wanajeshi wetu wa Navy tafadhali.
Mdogo wangu umeongea point ya moto sana.Ajali ya Moto ya Morogoro Mzee Magu alifanya nini?
Kwa bahati nzuri eneo la tukio nilikuwepo mwanzo mpaka mwisho.
Kilichotokea Morogoro kwenye Ile Moto ndio uzembe ambao hautakuja kuvunjiwa rekodi Kwa siku za hivi karibuni.
Shida sio viongozi wa nchi hii, tatizo ni la wananchi wote.
Tukubali kuwa Sisi Watanzania 90% ni watu wa hovyo.
Ndio maana tunakuwa wepesi kulaumu viongozi ambao kimsingi hao viongozi ni watoto wetu, wajomba zetu, Wake zetu, Baba zetu, mashemeji zetu, n.k.
Hakuna cha magu wala nini. Nchi yetu bado Sana. Tena Sana.
Watu badala wahangaike kuzalisha kizazi Bora wanazaa tuu bila mipango. Hayo ndio matokeo
Akianza Kasim Meja kujiuzulu kwa kujilipua kwa faida ya nchi , na mie nitafatia ππJilipue kwa faida ya nchi yako
Hakuna 'r' kwenye kamusi yako!?Wote wanastahili jeshi haliwezi kulala usingizi ikiwa idala husika inapwaya walitakiwa wawe mstali wa mbele km vitani angalia kwenye moto Kilimanjaro wanashtuka muda umeenda sana y?
...Na Ajali Ile ya Meli pale Mwanza Miaka Michache nyuma inaelekea haikufundisha lolote licha ya Matamshi Kadhaa ya Kisiasa yalitolewa wakati ule!!
Low ranking, it is over 99.999999999999999999999999999999999999% hovyoTukubali kuwa Sisi Watanzania 90% ni watu wa hovyo.
How do they go about "zalishaling" kizazi bora?Watu badala wahangaike kuzalisha kizazi Bora wanazaa tuu bila mipango. Hayo ndio matokeo
Ninachojiuliza ni hivi hawa wenye mamlaka hawajiulizi haya tunayojiuliza sisi wananchi kwa kawaida?Wote wanastahili jeshi haliwezi kulala usingizi ikiwa idala husika inapwaya walitakiwa wawe mstali wa mbele km vitani angalia kwenye moto Kilimanjaro wanashtuka muda umeenda sana y?
Let's say wanapigana vita huko majini na wenzao wakazama hawatafanya juhudi zozote za kuwaokoa wenzao kwasababu wao sio waokoaji?Ni jeshi la majini,lipo kwa ajili ya Vita vya majini siyo kuokoa ndege au mvuvi anayezama
Mdogo wangu umeongea point ya moto sana.
Mafunzo ya jeshi yanafundisha ushirikiano na upendo miongoni mwa wanajeshi vitani,hakuna kumuacha mwenzio nyumaLet's say wanapigana vita huko majini na wenzao wakazama hawatafanya juhudi zozote za kuwaokoa wenzao kwasababu wao sio waokoaji?
Kwamba jeshi zimamoto na uokoaji litakuwepo hapo standby kuwaokoa watakaozama.
Low ranking, it is over 99.999999999999999999999999999999999999% hovyo