Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilidelete Insta na Facebook Miaka mitatu iliyopita baada ya kuona napoteza muda mwingi pia...Mwanzo nilipata Shida lkn Sasa wala sikumbuki tenaWakuu salamu,
Instagram inanilia muda na kunipa stress bure kwa kuangalia maisha ya wengine. Nimeona ni delete account maana sina namna
Tafuta kazi ya kufanya mkuu hiyo instagram utaisahau mkuu.Wakuu salamu,
Instagram inanilia muda na kunipa stress bure kwa kuangalia maisha ya wengine. Nimeona ni delete account maana sina namna
Ww kama sio mtoto, basi ni maisha safi huko kwenu
Huna mkuunnayo mkuu
kuna tatizo gani nikiwa wa kishua
punyere sipigi nilikonda kinomaPiga Punyere ule uchovu utakuondoa insta bila kutaka