Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toroka huko uje karibu chama la wana CHAPUTA wala hutojutia muda wako dingiiWakuu salamu,
Instagram inanilia muda na kunipa stress bure kwa kuangalia maisha ya wengine. Nimeona ni delete account maana sina namna
Duh kwa kwelinitafute ntakupa mishe ambayo inabidi uweke alam ya kulala sio kuamka hutakumbuka sosho media yeyote ile kwa 24hrs
Hivi wasapu nako huwa mnapost status? Kweli ujanana maji ya moto.Sijawai fikiria kufungua accnt ya insta..
Asilimia 6o ya bando langu nalitumia jf, Alhamdulillah na nafaidika nalo.
Whatsapp naanza kuikataa taratibu hasa haya mambo ya status...naweza nikaa sku mbili nisichungulie wala kupost status...
Ahahaaa....mkuu inamaana hujui au,kuna watu wanapata adi stress kwa haya maduduHivi wasapu nako huwa mnapost status? Kweli ujanana maji ya moto.
Mie nagombanaga na wife kabisa ila jf ni zaidi ya beer!Napoteza muda mwingi jamiiforum nifanye Nini?
Wakuu jamii forum inanitoa stress Sana kwa jinsi Watu wanavyotoa michango yao
asnte mkuuToka hapo nyumbani ukapange utasahau kuwa kuna vitu vinaitwa instagram
wewe wa nini mkuuWe wakishua tatzo
Mm mtoto wa mkulima mkuuwewe wa nini mkuu