Habari za leo wakuu
Mimi ni kijana mkazi wa Dar es salaam. Nimekuwa nikiwasaidia wafanyabiashara waliopo mbali na Dar es salaam katika kuwanunulia bidhaa kwenye maduka ya jumla yaliopo hapa Dar. Hivyo haimlazimu mtu kusafiri kutoka mikoa ya mbali kuja Dar kufunga mzigo, ambapo utakuta faida kidogo iliyokuwa aipate inakuwa ndogo zaidi kutokana na kuingia gharama za usafiri na malazi kwa kuja yeye mwenyewe. Ninawatumia mizigo kwa njia ya bus au lori kutegemeana na mteja atakavyochagua.
Ninafanya kazi hii kwa uaminifu mkubwa.
Bidhaa ambazo nimekuwa nikihusika nazo ni vyombo vya nyumbani/jikoni, viatu, T-shirts na Stationery etc
Commission ni maelewano
Kwa anayehitaji huduma yangu unaweza kunitumia msg pm au ukapiga simu no 0767407674
Karibuni
Mimi ni kijana mkazi wa Dar es salaam. Nimekuwa nikiwasaidia wafanyabiashara waliopo mbali na Dar es salaam katika kuwanunulia bidhaa kwenye maduka ya jumla yaliopo hapa Dar. Hivyo haimlazimu mtu kusafiri kutoka mikoa ya mbali kuja Dar kufunga mzigo, ambapo utakuta faida kidogo iliyokuwa aipate inakuwa ndogo zaidi kutokana na kuingia gharama za usafiri na malazi kwa kuja yeye mwenyewe. Ninawatumia mizigo kwa njia ya bus au lori kutegemeana na mteja atakavyochagua.
Ninafanya kazi hii kwa uaminifu mkubwa.
Bidhaa ambazo nimekuwa nikihusika nazo ni vyombo vya nyumbani/jikoni, viatu, T-shirts na Stationery etc
Commission ni maelewano
Kwa anayehitaji huduma yangu unaweza kunitumia msg pm au ukapiga simu no 0767407674
Karibuni