Ninasaidia wafanyabiashara waliopo mbali na Dar es salaam

Hakuna unayemsaidia hilo ni tangazo la biashara ndio kazi yako au kama vipi jisaidie mwenyewe.
 
hamjaeklewa kitu hapo. hii ni product ya mwalim wa biashara anaitwa Kelvin kibenje. kawaamsha sana wanafunzi wake....... shida ni nani atawaamini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…