Ninatafuta mpenzi (girl friend) awe Iringa mjini

Ninatafuta mpenzi (girl friend) awe Iringa mjini

Mejasoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
298
Reaction score
600
Natafuta mpenzi I mean a girlfriend- awe Iringa mjini au karibu na maeneo ya Iringa, umri uwe kati ya miaka 22-27, asiwe na mtoto Wala kuwahi kuzaa, awe na mwili wa kawaida sio mnene, Wala sio mwembamba sana, rangi yoyote tu Haina shida, elimu yake kuanzia kidato Cha nne na kuendelea, awe anajishughulisha na shughuli yoyote isipokua biashara za bar, na madanguro ya ngono, awe mkristo mcha Mungu, mengine yaliyobaki tutakubaliana pindi tukukutana. Karibuni mabinti warembo wa Iringa na maeneo ya jirani.
Mimi ni Mkristo, kabila mchaga, umri miaka 30, nimeajiriwa Iringa, na mwili wa kawaida sio mnene na sio mwembamba sana.
Hope Mwenyezi Mungu utanifanikisha kwenye hili.

Meja soko.
 
Natafuta mpenzi I mean a girlfriend- awe Iringa mjini au karibu na maeneo ya Iringa, umri uwe kati ya miaka 22-27, asiwe na mtoto Wala kuwahi kuzaa, awe na mwili wa kawaida sio mnene, Wala sio mwembamba sana, rangi yoyote tu Haina shida, elimu yake kuanzia kidato Cha nne na kuendelea, awe anajishughulisha na shughuli yoyote isipokua biashara za bar, na madanguro ya ngono, awe mkristo mcha Mungu, mengine yaliyobaki tutakubaliana pindi tukukutana. Karibuni mabinti warembo wa Iringa na maeneo ya jirani.
Mimi ni Mkristo, kabila mchaga, umri miaka 30, nimeajiriwa Iringa, na mwili wa kawaida sio mnene na sio mwembamba sana.
Hope Mwenyezi Mungu utanifanikisha kwenye hili.

Meja soko.
Humu huwezi kupata! Labda ungejaribu sehemu nyingine. Imagine mdogo kuliko wote humu ana miaka 30! Jina kapuni. Waliobakia wote ni kuanzia miaka 35 - 85!

Wengi wana watoto na wajukuu! Wote wana digrii za kila aina! Wote wana magari ya kifahari! Wanakaa kwao! Ni wanene kweli kweli! Utawaweza kweli!
 
Humu huwezi kupata! Labda ungejaribu sehemu nyingine. Imagine mdogo kuliko wote humu ana miaka 30! Jina kapuni. Waliobakia wote ni kuanzia miaka 35 - 85!

Wengi wana watoto na wajukuu! Wote wana digrii za kila aina! Wote wana magari ya kifahari! Wanakaa kwao! Ni wanene kweli kweli! Utawaweza kweli!
Da hii ni hatar ngoja nichek ucl game
 
Humu huwezi kupata! Labda ungejaribu sehemu nyingine. Imagine mdogo kuliko wote humu ana miaka 30! Jina kapuni. Waliobakia wote ni kuanzia miaka 35 - 85!

Wengi wana watoto na wajukuu! Wote wana digrii za kila aina! Wote wana magari ya kifahari! Wanakaa kwao! Ni wanene kweli kweli! Utawaweza kweli!
🤣🤣🤣🤣
mbavu zangu mie
 
Back
Top Bottom