Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hello, Sijapata PM yakoMbona hunijibu PM au hutaki kuolewa na mimi
Subiri nakuja.Hello, Sijapata PM yako
Nani kakwambia kwamba usalama ni wauji wa watu? Na ni kwanini uwaogope usalama kama sio mwalifu wa kimtandao[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] .wakiamua kukupata watakupata tu kwani hapa sio kichaka cha kufanyia uhalifuwell said.. japo binti unaweza kumpata lakini kama hauko sawa usalama pia wamekupata
Ww mwanaume awe wa kukupa burudani si wa digriiiHabari wana JF,
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 36.
Ninatafuta mpenzi mwenye upendo wa dhati atakayekuwa mume wangu.
Sifa zake
Umri: 37-45
Dini: Mkristo
Elimu: kidato cha sita na kuendelea
Kipato: Kaajiriwa / kajiajiri.
Ninawakaribisha PM kwa mawasiliano zaidi.
Ninatanguliza shukrani zangu kwa wote watakaojitokeza.