Ninatafuta mume

Ninatafuta mume

Wanaume tuliopo jf wengi wetu ni waongo waongo. Utalia machozi ya damu
 
Yaani bado unaweka vigezo kibao wakati umri wako ushaelekea magharibi?kweli wewe ni fungu la kukosa.
 
Mwanaume wa 37-45 ana familia na majukumu tayari. Sidhani kama kuna aliye single. Kama wapo ni 1 tu kati ya 1000

Sina maana kukukatisha tamaa, ila jiandae kuwa mchepuko
 
well said.. japo binti unaweza kumpata lakini kama hauko sawa usalama pia wamekupata
Nani kakwambia kwamba usalama ni wauji wa watu? Na ni kwanini uwaogope usalama kama sio mwalifu wa kimtandao[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] .wakiamua kukupata watakupata tu kwani hapa sio kichaka cha kufanyia uhalifu
 
Habari wana JF,

Mimi ni mwanamke mwenye miaka 36.

Ninatafuta mpenzi mwenye upendo wa dhati atakayekuwa mume wangu.

Sifa zake
Umri: 37-45
Dini: Mkristo
Elimu: kidato cha sita na kuendelea
Kipato: Kaajiriwa / kajiajiri.

Ninawakaribisha PM kwa mawasiliano zaidi.

Ninatanguliza shukrani zangu kwa wote watakaojitokeza.
Ww mwanaume awe wa kukupa burudani si wa digriii
 
Back
Top Bottom