Ninatafuta mwanaume mtu mzima single

Daah aisee mpira umewekwa kwenye sita huo sio maguu 12 ya mtu mzima sema kigezo cha degree sio mchezo hivyo vingine vinawezekana ila Degree ya Chuo hapo watu wengi wanaferi Sisteri..
 
Hello umeshapata au bado
 
Hizi nyuzi zimekuwa nyingi mno kama kweli mko serious na mnachokiandika basi Kuna shida kubwa kwenye jamii yetu
 
Naona unatafuta wanaume Mimi na Moja wenye Tania tofauti. Endelea kupambana.
 
Hizi nyuzi zimekuwa nyingi mno kama kweli mko serious na mnachokiandika basi Kuna shida kubwa kwenye jamii yetu
kuna wengine robo tatu ya kwaya nzima walikuja kuimba kanisani kwetu hawakuwakuwa na ndoa. Ilibidi wajibigie debe huku wakisaidiwa na mchungaji wao kuwa majimbo yako wazi, wanahitaji wa kuyapata. Nilishangaa kuona wanawake wakijitangaza hadharani kuwa wanahitaji waume bila aibu mbele ya kadamnasi ya waumini
 
Ni shida mkuu
 
Dr na prof, duu sawa na hongera
 
umeweka sharti la degree hutapata mume haraka. Sasa ukianza kuweka masharti na vigezo vigumu itabidi na wewe tukuchunguze kama unafaa kuwa mke bora. Kwanza nini kilikufanya uachane na mumeo?
Huyu atakuwa ana kelele sana kumbuka wanaume hawapendi kelele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…