Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Daah aisee mpira umewekwa kwenye sita huo sio maguu 12 ya mtu mzima sema kigezo cha degree sio mchezo hivyo vingine vinawezekana ila Degree ya Chuo hapo watu wengi wanaferi Sisteri..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hello umeshapata au badoHello dears, baada ya kutengana na mwenzangu upweke umenishinda kwakweli nimeona nitafute mtu wa kuwa nae karibu na kushare Mambo ya ndani.
Mimi;
Ni mwanamke wa miaka 38
Brown skin tone
Mkristo
Mwili wa kawaida wenye mvuto kimapenzi japo (sina chura kubwa).
Nina watoto 2
Nimeachana na mwenzangu kwa sababu Ambazo hazizuiliki kwa miaka 3 sasa (siwazi kupasha kiporo kwa namna yoyote ile).
Elimu ya masters
Ajira: nimejiajiri Ila wakati flani flani fursa zinapotokea naajiriwa ajira za muda mfupi (mfano kwenye projects n. k).
Ninatafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo;
Awe mtu mzima ambaye yuko single kwa sababu za kufiwa na mke, au talaka ya kawaida. Ila ambaye yuko katika umri wa utu uzima Ila hajawahi kuoa hapana.
Awe na watoto... Ila ni vizuri wakiwa wa mama mmoja. Sio watoto 5 kila mtoto na mama yake.
Awe na akili ya maendeleo na kuboresha maisha.
Urefu wowote
Rangi yoyote
Elimu ya degree masters au PhD itapendeza zaidi.
Awe mkristo (akiwa msabato au mlokole ni vizuri zaidi).
Awe na chanzo cha mapato kinachoeleweka (mfano ajira binafsi au kuajiriwa).
Awe tayari kushirikiana au kunisaidia mawazo ya namba gani ya kuboresha kile njnachofanya au hata mawazo mapya ya kujenga.
Awe father material na mkarimu.
Ninaomba walio serious tu ndio waje PM. Pls pls usije PM kama hauko serious.
Asanteni waungwana.
Ameshapata huyo vinginevyo angekujibu🫠
Naona unatafuta wanaume Mimi na Moja wenye Tania tofauti. Endelea kupambana.Hello dears, baada ya kutengana na mwenzangu upweke umenishinda kwakweli nimeona nitafute mtu wa kuwa nae karibu na kushare Mambo ya ndani.
Mimi;
Ni mwanamke wa miaka 38
Brown skin tone
Mkristo
Mwili wa kawaida wenye mvuto kimapenzi japo (sina chura kubwa).
Nina watoto 2
Nimeachana na mwenzangu kwa sababu Ambazo hazizuiliki kwa miaka 3 sasa (siwazi kupasha kiporo kwa namna yoyote ile).
Elimu ya masters
Ajira: nimejiajiri Ila wakati flani flani fursa zinapotokea naajiriwa ajira za muda mfupi (mfano kwenye projects n. k).
Ninatafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo;
Awe mtu mzima ambaye yuko single kwa sababu za kufiwa na mke, au talaka ya kawaida. Ila ambaye yuko katika umri wa utu uzima Ila hajawahi kuoa hapana.
Awe na watoto... Ila ni vizuri wakiwa wa mama mmoja. Sio watoto 5 kila mtoto na mama yake.
Awe na akili ya maendeleo na kuboresha maisha.
Urefu wowote
Rangi yoyote
Elimu ya degree masters au PhD itapendeza zaidi.
Awe mkristo (akiwa msabato au mlokole ni vizuri zaidi).
Awe na chanzo cha mapato kinachoeleweka (mfano ajira binafsi au kuajiriwa).
Awe tayari kushirikiana au kunisaidia mawazo ya namba gani ya kuboresha kile njnachofanya au hata mawazo mapya ya kujenga.
Awe father material na mkarimu.
Ninaomba walio serious tu ndio waje PM. Pls pls usije PM kama hauko serious.
Asanteni waungwana.
Hapo umenenaAliyekuacha hakukosea
Anaweka kigezo Cha Elimu na uzoefu kama anatafuta mfanyakazi vileumeweka sharti la degree hutapata mume haraka. Sasa ukianza kuweka masharti na vigezo vigumu itabidi na wewe tukuchunguze kama unafaa kuwa mke bora. Kwanza nini kilikufanya uachane na mumeo?
Huyo atakuwa anatafutwa kufanya, hataki ndoaAnaweka kigezo Cha Elimu na uzoefu kama anatafuta mfanyakazi vile
kuna wengine robo tatu ya kwaya nzima walikuja kuimba kanisani kwetu hawakuwakuwa na ndoa. Ilibidi wajibigie debe huku wakisaidiwa na mchungaji wao kuwa majimbo yako wazi, wanahitaji wa kuyapata. Nilishangaa kuona wanawake wakijitangaza hadharani kuwa wanahitaji waume bila aibu mbele ya kadamnasi ya wauminiHizi nyuzi zimekuwa nyingi mno kama kweli mko serious na mnachokiandika basi Kuna shida kubwa kwenye jamii yetu
Ni shida mkuukuna wengine robo tatu ya kwaya nzima walikuja kuimba kanisani kwetu hawakuwakuwa na ndoa. Ilibidi wajibigie debe huku wakisaidiwa na mchungaji wao kuwa majimbo yako wazi, wanahitaji wa kuyapata. Nilishangaa kuona wanawake wakijitangaza hadharani kuwa wanahitaji waume bila aibu mbele ya kadamnasi ya waumini
[emoji849][emoji849][emoji2960][emoji2960]Naona unatafuta wanaume Mimi na Moja wenye Tania tofauti. Endelea kupambana.
Dr na prof, duu sawa na hongeraHello dears, baada ya kutengana na mwenzangu upweke umenishinda kwakweli nimeona nitafute mtu wa kuwa nae karibu na kushare Mambo ya ndani.
Mimi;
Ni mwanamke wa miaka 38
Brown skin tone
Mkristo
Mwili wa kawaida wenye mvuto kimapenzi japo (sina chura kubwa).
Nina watoto 2
Nimeachana na mwenzangu kwa sababu Ambazo hazizuiliki kwa miaka 3 sasa (siwazi kupasha kiporo kwa namna yoyote ile).
Elimu ya masters
Ajira: nimejiajiri Ila wakati flani flani fursa zinapotokea naajiriwa ajira za muda mfupi (mfano kwenye projects n. k).
Ninatafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo;
Awe mtu mzima ambaye yuko single kwa sababu za kufiwa na mke, au talaka ya kawaida. Ila ambaye yuko katika umri wa utu uzima Ila hajawahi kuoa hapana.
Awe na watoto... Ila ni vizuri wakiwa wa mama mmoja. Sio watoto 5 kila mtoto na mama yake.
Awe na akili ya maendeleo na kuboresha maisha.
Urefu wowote
Rangi yoyote
Elimu ya degree masters au PhD itapendeza zaidi.
Awe mkristo (akiwa msabato au mlokole ni vizuri zaidi).
Awe na chanzo cha mapato kinachoeleweka (mfano ajira binafsi au kuajiriwa).
Awe tayari kushirikiana au kunisaidia mawazo ya namba gani ya kuboresha kile njnachofanya au hata mawazo mapya ya kujenga.
Awe father material na mkarimu.
Ninaomba walio serious tu ndio waje PM. Pls pls usije PM kama hauko serious.
Asanteni waungwana.
Huyu atakuwa ana kelele sana kumbuka wanaume hawapendi keleleumeweka sharti la degree hutapata mume haraka. Sasa ukianza kuweka masharti na vigezo vigumu itabidi na wewe tukuchunguze kama unafaa kuwa mke bora. Kwanza nini kilikufanya uachane na mumeo?
Dadeki siku mtoto akilazwa hospitali,lazima alambe matapishi wakati wanauguza mtoto na huyo X,kwa kifupi ukubali lazima kuna insidence ataliwa.Sijui nijilipueee