Ninatafuta mwanaume mtu mzima single

Ninatafuta mwanaume mtu mzima single

We eb tuliza via vya uzazi! Hasira zako zisizo na sababu usipeleke kwa kila mtu... Nareply navotaka mm bila kumvunjia mtu heshima yake wala kumdhalilisha ko tusipangiane kinyesi mkubwa wewe!
we dada mbona unatokwa povu sana?
 
Hello dears, baada ya kutengana na mwenzangu upweke umenishinda kwakweli nimeona nitafute mtu wa kuwa nae karibu na kushare Mambo ya ndani.

Mimi;
Ni mwanamke wa miaka 38
Brown skin tone
Mkristo
Mwili wa kawaida wenye mvuto kimapenzi japo (sina chura kubwa).
Nina watoto 2
Nimeachana na mwenzangu kwa sababu Ambazo hazizuiliki kwa miaka 3 sasa (siwazi kupasha kiporo kwa namna yoyote ile).

Elimu ya masters
Ajira: nimejiajiri Ila wakati flani flani fursa zinapotokea naajiriwa ajira za muda mfupi (mfano kwenye projects n. k).

Ninatafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo;
Awe mtu mzima ambaye yuko single kwa sababu za kufiwa na mke, au talaka ya kawaida. Ila ambaye yuko katika umri wa utu uzima Ila hajawahi kuoa hapana.

Awe na watoto... Ila ni vizuri wakiwa wa mama mmoja. Sio watoto 5 kila mtoto na mama yake.
Awe na akili ya maendeleo na kuboresha maisha.
Urefu wowote
Rangi yoyote
Elimu ya degree masters au PhD itapendeza zaidi.
Awe mkristo (akiwa msabato au mlokole ni vizuri zaidi).
Awe na chanzo cha mapato kinachoeleweka (mfano ajira binafsi au kuajiriwa).
Awe tayari kushirikiana au kunisaidia mawazo ya namba gani ya kuboresha kile njnachofanya au hata mawazo mapya ya kujenga.
Awe father material na mkarimu.

Ninaomba walio serious tu ndio waje PM. Pls pls usije PM kama hauko serious.

Asanteni waungwana.
Vigezo vyote nakizi, but religion
 
Unaweza kuwa sahihi au usiwe sahihi pia...
Naomba nikujulishe kwamba nimemuacha Mimi. Na kwa taarifa fupi ni kwamba tulioana. Tena anatamani sana turudiane Mimi nimechukua high way...
Dear sio kila mtu anaweza kuvumilia mateso kwa kuwa eti ana watoto wawili.
Me siko hivyo. Siku zote Amani na furaha yangu kwanza.
Alafu siku hizi masters ni kama degree tu.
Sasa ungetumegea kipande cha history ya mgogoro ili wataalamu wa miundombinu ya ndoa tufahamu shida ipo wapi na tuweze kushauri vema.


Wewe umeweka vigezo tu hapa vya mwanaume unayemtaka lakini fahamu jambo moja kwamba ulimwengu hautakupa unachotaka bali unachostahili.

Kustahili kwako ni matokeo ya tabia na mwenendo wako. Ukiwa mkimya ulimwengu utakupatia atakaependa ukmya wako, ukiwa unachonga ngenga utaletewa ambaye anapenda kelele na atadeal na wewe kwa namna ulivyo, ukiwa unajali na mpenda haki utaletea copy yako ya anayejali na mpenda haki version ya kiume.

Shida ni kuwa wanawake huwa hampendi kuona mabaya yenu kwanza ili muweze kujitambua mnaoperate vipi kwenye mahusiano.

Ukiona kupata mwanaume inakuwa ngumu jiulize mara mbili mbili kuwa shida ipo wapi kwann uwe mwanamke mzuri ushindwe vuta mwanaume mzuri uvutie wa hovyo tu?

So baada ya kusema hayo nakushauri utuonyeshe ushirikiano kwa kutupatia story au kipande kifupi sana cha experience ambayo umepitia kwa mwanaume uliyepata nae watoto wawili kisha ghafla umuache, nini kilitokea ewe mwali?
 
Wewe kweli gubegube kubwa.

Unajuaje kama mume alimtesa dada wa watu akaamua kuondoka akaishi peke yake? Unafikiri kuna mwanamke anayependa kuachana na mume wake?

Halafu kwanini iwe yeye ndio kaachwa/kukimbiwa?
Hata sisi wanawake tunaacha pia.
mwanaume makini hakimbilii kuoa mwanamke aliyeachika mpaka ajiridhishe huyo mume wake alimuachaje? Ukute huyu mwanamke ni mkorofi na hajatulia, she is a bitch, ujiingize kwenye stress kisa tu kuna mwanamke katoa offer ya kuolewa. Tujue tabia zake kwanza
 
mwanaume makini hakimbilii kuoa mwanamke aliyeachika mpaka ajiridhishe huyo mume wake alimuachaje? Ukute huyu mwanamke ni mkorofi na hajatulia, she is a bitch, ujiingize kwenye stress kisa tu kuna mwanamke katoa offer ya kuolewa. Tujue tabia zake kwanza
Ndugu kuoana ni process ambayo huanzi tu ukajikuta kanisani.
Hapo katikati kuna kusomana na kuangalia kipi kinabebeka na kipi hakibebeki.
Alafu mbona watu wanapoachana lawama zote au mabaya yote anatupiwa m wa mwanamke? Kwani hakuna wanaume wenye tabia zisizofaa na Hivyo kuharibu ndoa?
Huwa sijibu negative comments lakini kiroho safi nimejikuta nakuelewesha.
 
Kwa hiyo wewe show zako ni zile za ”hit n run” ain't you?

Maana ikiwa ulishaachana na bwana hapo nyuma na bado unatafuta mwengine wa kupoteza nae muda bila kuzingatia viwango huku akili yako umeshai-set kwamba akija yeyote alimradi ana degree sijui ni msabato au mlokole unabebana nae hatma itajulikana mbele kwa mbele kwanini tusihisi kuna kitu hakipo sawa upande wako?

Any way hainihusu sana ila kila la heri mkuu!
Ujasoma hata alichoandika huyo bibie
 
Boss unaogopa kitu kisichokuwepo ?? [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Najua kwa nini umewaza Hivyo.
Ila kumbuka only a strong man will date a strong woman. Strong women aren't for weak men. Na Mimi Leo nipo natafuta mwanaume wa ukweli boss.
Kama umenielewa ni vyema.
Strong how bi dada? Hii hoja ya STRONG WOMAN huwa mnaitafasiri kwa vigezo vipi, mbona kile mnachoita ni kuwa strong ndicho kinawakosesha sifa za kuwa mke?

Nipatie hapa vigezo muhimu ambavyo umetumia kusema you are a strong woman?

Nataka unambie ni sifa zipi anakuwa nazo mwanamke ambaye wewe una mnasibu kuwa ni strong woman halafu tusaidiane hapa maoni hapa mapema kabla haujakwenda kuingia mahusiano mapya.
 
Inajulikana hivyo kwamba mwanamke akiwa tu msomi kuliko mumewe, harafu akawa na hela basi humo ndani ni sodoma na gomola maana anakuwa superstar nyodo kama zote kama thread ja mwamba mmoja anaelalamika humu baada ya kumsomesha mkewe. Hatujasikia upande wa pili ila mi ninachojua pia ninachoamini na pia ndio ukweli wenyewe HAMNA MWANAUME YEYOTE ATAKAE KUBALI KUMUACHA AU KUACHWA NA WIFE MATERIAL hilo halipo
Haya maneno ya herufi kubwa ni mazito sana na yanatakiwa kuwa sehemu ya bible kitabu cha agano jipya.
 
Inajulikana hivyo kwamba mwanamke akiwa tu msomi kuliko mumewe, harafu akawa na hela basi humo ndani ni sodoma na gomola maana anakuwa superstar nyodo kama zote kama thread ja mwamba mmoja anaelalamika humu baada ya kumsomesha mkewe. Hatujasikia upande wa pili ila mi ninachojua pia ninachoamini na pia ndio ukweli wenyewe HAMNA MWANAUME YEYOTE ATAKAE KUBALI KUMUACHA AU KUACHWA NA WIFE MATERIAL hilo halipo
Nimeelewa sana kipande hiki cha mwisho cha maneno uliyoandika kwa herufi kubwa mzee mwenzangu.
 
Inajulikana hivyo kwamba mwanamke akiwa tu msomi kuliko mumewe, harafu akawa na hela basi humo ndani ni sodoma na gomola maana anakuwa superstar nyodo kama zote kama thread ja mwamba mmoja anaelalamika humu baada ya kumsomesha mkewe. Hatujasikia upande wa pili ila mi ninachojua pia ninachoamini na pia ndio ukweli wenyewe HAMNA MWANAUME YEYOTE ATAKAE KUBALI KUMUACHA AU KUACHWA NA WIFE MATERIAL hilo halipo
Mwamba unatumia kinywaji kama vipi weekend moja nikualike tukae chini tunalize kilo 3 za nyama wakati ukinielezea utaalamu wako hadi ukaweza unda maneno mazito namna hii aiseee , dah umepatia sana mzee [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom