Ninatafuta mwanaume mtu mzima single

We eb tuliza via vya uzazi! Hasira zako zisizo na sababu usipeleke kwa kila mtu... Nareply navotaka mm bila kumvunjia mtu heshima yake wala kumdhalilisha ko tusipangiane kinyesi mkubwa wewe!
we dada mbona unatokwa povu sana?
 
Vigezo vyote nakizi, but religion
 
Sasa ungetumegea kipande cha history ya mgogoro ili wataalamu wa miundombinu ya ndoa tufahamu shida ipo wapi na tuweze kushauri vema.


Wewe umeweka vigezo tu hapa vya mwanaume unayemtaka lakini fahamu jambo moja kwamba ulimwengu hautakupa unachotaka bali unachostahili.

Kustahili kwako ni matokeo ya tabia na mwenendo wako. Ukiwa mkimya ulimwengu utakupatia atakaependa ukmya wako, ukiwa unachonga ngenga utaletewa ambaye anapenda kelele na atadeal na wewe kwa namna ulivyo, ukiwa unajali na mpenda haki utaletea copy yako ya anayejali na mpenda haki version ya kiume.

Shida ni kuwa wanawake huwa hampendi kuona mabaya yenu kwanza ili muweze kujitambua mnaoperate vipi kwenye mahusiano.

Ukiona kupata mwanaume inakuwa ngumu jiulize mara mbili mbili kuwa shida ipo wapi kwann uwe mwanamke mzuri ushindwe vuta mwanaume mzuri uvutie wa hovyo tu?

So baada ya kusema hayo nakushauri utuonyeshe ushirikiano kwa kutupatia story au kipande kifupi sana cha experience ambayo umepitia kwa mwanaume uliyepata nae watoto wawili kisha ghafla umuache, nini kilitokea ewe mwali?
 
Wewe kweli gubegube kubwa.

Unajuaje kama mume alimtesa dada wa watu akaamua kuondoka akaishi peke yake? Unafikiri kuna mwanamke anayependa kuachana na mume wake?

Halafu kwanini iwe yeye ndio kaachwa/kukimbiwa?
Hata sisi wanawake tunaacha pia.
mwanaume makini hakimbilii kuoa mwanamke aliyeachika mpaka ajiridhishe huyo mume wake alimuachaje? Ukute huyu mwanamke ni mkorofi na hajatulia, she is a bitch, ujiingize kwenye stress kisa tu kuna mwanamke katoa offer ya kuolewa. Tujue tabia zake kwanza
 
Ndugu kuoana ni process ambayo huanzi tu ukajikuta kanisani.
Hapo katikati kuna kusomana na kuangalia kipi kinabebeka na kipi hakibebeki.
Alafu mbona watu wanapoachana lawama zote au mabaya yote anatupiwa m wa mwanamke? Kwani hakuna wanaume wenye tabia zisizofaa na Hivyo kuharibu ndoa?
Huwa sijibu negative comments lakini kiroho safi nimejikuta nakuelewesha.
 
Ujasoma hata alichoandika huyo bibie
 
Strong how bi dada? Hii hoja ya STRONG WOMAN huwa mnaitafasiri kwa vigezo vipi, mbona kile mnachoita ni kuwa strong ndicho kinawakosesha sifa za kuwa mke?

Nipatie hapa vigezo muhimu ambavyo umetumia kusema you are a strong woman?

Nataka unambie ni sifa zipi anakuwa nazo mwanamke ambaye wewe una mnasibu kuwa ni strong woman halafu tusaidiane hapa maoni hapa mapema kabla haujakwenda kuingia mahusiano mapya.
 
Haya maneno ya herufi kubwa ni mazito sana na yanatakiwa kuwa sehemu ya bible kitabu cha agano jipya.
 
Nimeelewa sana kipande hiki cha mwisho cha maneno uliyoandika kwa herufi kubwa mzee mwenzangu.
 
Mwamba unatumia kinywaji kama vipi weekend moja nikualike tukae chini tunalize kilo 3 za nyama wakati ukinielezea utaalamu wako hadi ukaweza unda maneno mazito namna hii aiseee , dah umepatia sana mzee [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…