Ninatafuta rafiki wa kike Dodoma. Nimekuwa mpweke sana

Ninatafuta rafiki wa kike Dodoma. Nimekuwa mpweke sana

BabaPrince

Senior Member
Joined
Jan 10, 2016
Posts
126
Reaction score
47
Mimi ni kijana wa makamo, nimehamishiwa Dodoma kikazi, sasa nimejikuta nipo huku camp nje kabisa ya mji, nimekuwa mpweke sana maana huku tupo midume mitupu mpaka,

Na ninavyojiona si muda mrefu nitaanza kuchekacheka mwenyewe hovyo maana nimekosa huduma kwa muda mrefu(jocking) naomba mdada aliyeko Dodoma ani PM fasta tufahamiane zaidi pamoja na kutembeleana zaidi. Nimewasilisha
 
K I P U R U R U

U G W A D U


Mkuu umekosa kabisa nyapu ya bei cheee,,, mbona zipo available sana siku hizi....

Usikae kizembe arifu.. Usiogope kukula pesa yako.
 
Back
Top Bottom