Ninatafuta wachoraji wa picha kama hizi za rangi ya maji

Kwani wale wanaochora Tingatinga hawawezi kukusaidia?! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Tingatinga ni style ambayo haina realism.

Ni ya kipekee
 
Utukufu kwa Mungu juu mbinguni huu ujuzi wa kuchora hivyo kwakweli ni wahali ya juu sana .
Hiyo ni hyper realism huwa haina ufundi sana zaidi ya kufuata principles.

Njoo kwenye contemporary uumize kichwa
 
Kifupi ni kwamba, wachoraji wanatofautiana styles, kuna wanaotumia watercolor(rangi ya maji), oil colour (rangi ya mafuta), rangi isiyo ya mafuta, mkaa, pen, penseli na kadhalika

Inategemea na picha unayotaka wewe uchorewe!

Kuna zingine akikuchorea unasikia raha kuziangalia picha kwenye fremu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…