Ninataka kuanzisha kampuni

Ninataka kuanzisha kampuni

Wakuu nimeliangalia vizur suala la ubunifu kama sehemu ya kufanikiwa kimaisha na kuziona fursa. Kwa kuzingatia changamoto mbalimbali mitaani nina wazo la kufungua kampuni itakayokuwa inajihusisha na mambo yafuatayo

1. Kumtongoza mkeo mara ya pili kuona kama atakubali watu wengine au lah ( @1 mission ni tsh 25000)

2. Kumchunguza mkeo na kuandika report ya muenendo wake kwa vijana mbalimbali mtaani (@1 mission ni tsh 30000)

3. Kufanikisha dili la kufumania ( tshs 50000)

4. Kusaidia usababishaji wa mimba (bei maelewano)

5. Kusababisha kusamehewa baada ya kufumania, kwa kumfumania aliyekufumania ( hapa natuma mseseji moja tu ya kumsifia kwa shoo aliyonipa ili uifumanie na wewe msameheane) bei maelewano

6. Kufatilia mienendo ya eksi wako kabla hamjarudiana tena

Naomba kujua kama viwango vya bei ninavyoviweka ni rafiki kwa mtanzania. Na napolkea mawazo na wawekezaji

Kalaga baho
Sehemu ya hii idea yako anaifanya yule dogo anaitwa kiredio😁 na so far inamlipa sana. Wabongo wengi wanapenda hizi mbanga
 
Sehemu ya hii idea yako anaifanya yule dogo anaitwa kiredio😁 na so far inamlipa sana. Wabongo wengi wanapenda hizi mbanga
Ujinga ujinga siku hizi unalipa sana. Najiandaa kuandaa business plan.

Wateja wengine nitawatoa humuhumu jf
 
Wakuu nimeliangalia vizur suala la ubunifu kama sehemu ya kufanikiwa kimaisha na kuziona fursa. Kwa kuzingatia changamoto mbalimbali mitaani nina wazo la kufungua kampuni itakayokuwa inajihusisha na mambo yafuatayo

1. Kumtongoza mkeo mara ya pili kuona kama atakubali watu wengine au lah ( @1 mission ni tsh 25000)

2. Kumchunguza mkeo na kuandika report ya muenendo wake kwa vijana mbalimbali mtaani (@1 mission ni tsh 30000)

3. Kufanikisha dili la kufumania ( tshs 50000)

4. Kusaidia usababishaji wa mimba (bei maelewano)

5. Kusababisha kusamehewa baada ya kufumania, kwa kumfumania aliyekufumania ( hapa natuma mseseji moja tu ya kumsifia kwa shoo aliyonipa ili uifumanie na wewe msameheane) bei maelewano

6. Kufatilia mienendo ya eksi wako kabla hamjarudiana tena

Naomba kujua kama viwango vya bei ninavyoviweka ni rafiki kwa mtanzania. Na napolkea mawazo na wawekezaji

Kalaga baho
Ongezea na huduma ya kutishia na kuwapiga mkwara wasumbufu wa wake za watu...
 
Wakuu nimeliangalia vizur suala la ubunifu kama sehemu ya kufanikiwa kimaisha na kuziona fursa. Kwa kuzingatia changamoto mbalimbali mitaani nina wazo la kufungua kampuni itakayokuwa inajihusisha na mambo yafuatayo

1. Kumtongoza mkeo mara ya pili kuona kama atakubali watu wengine au lah ( @1 mission ni tsh 25000)

2. Kumchunguza mkeo na kuandika report ya muenendo wake kwa vijana mbalimbali mtaani (@1 mission ni tsh 30000)

3. Kufanikisha dili la kufumania ( tshs 50000)

4. Kusaidia usababishaji wa mimba (bei maelewano)

5. Kusababisha kusamehewa baada ya kufumania, kwa kumfumania aliyekufumania ( hapa natuma mseseji moja tu ya kumsifia kwa shoo aliyonipa ili uifumanie na wewe msameheane) bei maelewano

6. Kufatilia mienendo ya eksi wako kabla hamjarudiana tena

Naomba kujua kama viwango vya bei ninavyoviweka ni rafiki kwa mtanzania. Na napolkea mawazo na wawekezaji

Kalaga baho
Wazo ni zuri sana, na usipokuwa makini linaibiwa chap
 
Back
Top Bottom