Kigi Makasi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,259
- 2,483
Hawa ndo wateja wetu wa mwanzo?
Mana mimi ntaomba nafasi ya kuwa meneja mahusiano hapo kwenye kampuni letu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ndo wateja wetu wa mwanzo?
Hapo kujiweka salama ni kuweka mkakati usioumiza wala kudhalilisha kwa wahusika tu. Na mikataba inaandaliwq na polis mmoja anakuwepo kuondoa matendo yasiofaa kufanyikaMimi nilikuwa naona kideoni tuu
Wana mfuatilia mhusika ke/me lina andaliwa fumanizi
Yesssssssss..... andaa catalogue mshirika masponsa wanapatikana hapahapa. Kina TUKANA UONENa sio mke pekee hata watoto au mtu yoyote huduma ya kipelelezi..mtu ndani ya week tu unajua mienendo yake yote..kama ni mvuta bangi lazima umnase tu
Wewe utakuwa branch meneja wa mwanza. Tutaweka branch majiji yote mana mijini na huduma zetu ndo kwenyewe.Hawa ndo wateja wetu wa mwanzo?
Mana mimi ntaomba nafasi ya kuwa meneja mahusiano hapo kwenye kampuni
Hapo mbele ya your ongeza neno fucknWahenga wana kuambia Trust Your Crazy Idea
Hakikisha ofisi yako iko kanda maalum {mara} nadhani ndani wiki moja tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hakikisha ofisi yako iko kanda maalum {mara} nadhani ndani wiki moja tu
utakuwa umepotea na kufunga ofisi yako mazima.😀😀
Sehemu ya hii idea yako anaifanya yule dogo anaitwa kiredio😁 na so far inamlipa sana. Wabongo wengi wanapenda hizi mbangaWakuu nimeliangalia vizur suala la ubunifu kama sehemu ya kufanikiwa kimaisha na kuziona fursa. Kwa kuzingatia changamoto mbalimbali mitaani nina wazo la kufungua kampuni itakayokuwa inajihusisha na mambo yafuatayo
1. Kumtongoza mkeo mara ya pili kuona kama atakubali watu wengine au lah ( @1 mission ni tsh 25000)
2. Kumchunguza mkeo na kuandika report ya muenendo wake kwa vijana mbalimbali mtaani (@1 mission ni tsh 30000)
3. Kufanikisha dili la kufumania ( tshs 50000)
4. Kusaidia usababishaji wa mimba (bei maelewano)
5. Kusababisha kusamehewa baada ya kufumania, kwa kumfumania aliyekufumania ( hapa natuma mseseji moja tu ya kumsifia kwa shoo aliyonipa ili uifumanie na wewe msameheane) bei maelewano
6. Kufatilia mienendo ya eksi wako kabla hamjarudiana tena
Naomba kujua kama viwango vya bei ninavyoviweka ni rafiki kwa mtanzania. Na napolkea mawazo na wawekezaji
Kalaga baho
Kama m_biaKama mfanya kazi au kama m_bia?
Ujinga ujinga siku hizi unalipa sana. Najiandaa kuandaa business plan.Sehemu ya hii idea yako anaifanya yule dogo anaitwa kiredio😁 na so far inamlipa sana. Wabongo wengi wanapenda hizi mbanga
Dondoka inbox mkuu tuyajengeKama m_bia
Mwenzako pm siwezi kutuma meseji Wala kupokea Kaka labda uniandikie namba yako kama kichwa Cha habari na Mimi niisome juu kwa juu ili nikupigie ili tuyajenge bwana CEODondoka inbox mkuu tuyajenge
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ujinga ujinga siku hizi unalipa sana. Najiandaa kuandaa business plan.
Wateja wengine nitawatoa humuhumu jf
Mabachela haituhusu hii tuendelee na majukumu mengine 😹😹
Namuspai unayekaribia kumkubali na kukuletea ripoti kabla hujampa jibu lakeMabachela haituhusu hii tuendelee na majukumu mengine 😹😹
Ongezea na huduma ya kutishia na kuwapiga mkwara wasumbufu wa wake za watu...Wakuu nimeliangalia vizur suala la ubunifu kama sehemu ya kufanikiwa kimaisha na kuziona fursa. Kwa kuzingatia changamoto mbalimbali mitaani nina wazo la kufungua kampuni itakayokuwa inajihusisha na mambo yafuatayo
1. Kumtongoza mkeo mara ya pili kuona kama atakubali watu wengine au lah ( @1 mission ni tsh 25000)
2. Kumchunguza mkeo na kuandika report ya muenendo wake kwa vijana mbalimbali mtaani (@1 mission ni tsh 30000)
3. Kufanikisha dili la kufumania ( tshs 50000)
4. Kusaidia usababishaji wa mimba (bei maelewano)
5. Kusababisha kusamehewa baada ya kufumania, kwa kumfumania aliyekufumania ( hapa natuma mseseji moja tu ya kumsifia kwa shoo aliyonipa ili uifumanie na wewe msameheane) bei maelewano
6. Kufatilia mienendo ya eksi wako kabla hamjarudiana tena
Naomba kujua kama viwango vya bei ninavyoviweka ni rafiki kwa mtanzania. Na napolkea mawazo na wawekezaji
Kalaga baho
Wazo ni zuri sana, na usipokuwa makini linaibiwa chapWakuu nimeliangalia vizur suala la ubunifu kama sehemu ya kufanikiwa kimaisha na kuziona fursa. Kwa kuzingatia changamoto mbalimbali mitaani nina wazo la kufungua kampuni itakayokuwa inajihusisha na mambo yafuatayo
1. Kumtongoza mkeo mara ya pili kuona kama atakubali watu wengine au lah ( @1 mission ni tsh 25000)
2. Kumchunguza mkeo na kuandika report ya muenendo wake kwa vijana mbalimbali mtaani (@1 mission ni tsh 30000)
3. Kufanikisha dili la kufumania ( tshs 50000)
4. Kusaidia usababishaji wa mimba (bei maelewano)
5. Kusababisha kusamehewa baada ya kufumania, kwa kumfumania aliyekufumania ( hapa natuma mseseji moja tu ya kumsifia kwa shoo aliyonipa ili uifumanie na wewe msameheane) bei maelewano
6. Kufatilia mienendo ya eksi wako kabla hamjarudiana tena
Naomba kujua kama viwango vya bei ninavyoviweka ni rafiki kwa mtanzania. Na napolkea mawazo na wawekezaji
Kalaga baho
Can you conceptualise it? Naona hili litanijengea maadui wengi sanaOngezea na huduma ya kutishia na kuwapiga mkwara wasumbufu wa wake za watu...
SI ndo inakuwa ni kazi yako.... hili wazo zuri sana mkuu embu nifate PM tu conceptualise hii idea ns business plan.... hahahahahaaaaCan you conceptualise it? Naona hili litanijengea maadui wengi sana