Wakuu kwema?
Nina shida hapa imenitokea, mnamo tarehe 23 nilituma pesa kama Tshs 500k kwenda namba ya voda tokea halotel, ila nikajagundua nimekosea namba,
Nikawapigia halopesa, wakaniambia nisubiri masaa 72 pesa itarudi,
Nikawa mpole nikasubiri, masaa yamefika 100,pesa haijarudi,
Nikawapigia tena, wakaniambia nisubiri tena masaa 72 pesa yangu, haijashughulikiwa ,maana yake mpaka tar 1.
Nikawauliza swali, endapo niliemtumia ataitoa,Si nitakosa haki? Wakanijibu niwe mvumilivu,
Sasa,
Naomba mnishauri nataka kuwapeleka kwa mwaka sheria na TCRA nataka wanilipe pesa yangu na nidai fidia,
Naombeni ushauri wenu,nipitie njia gani!
Nina shida hapa imenitokea, mnamo tarehe 23 nilituma pesa kama Tshs 500k kwenda namba ya voda tokea halotel, ila nikajagundua nimekosea namba,
Nikawapigia halopesa, wakaniambia nisubiri masaa 72 pesa itarudi,
Nikawa mpole nikasubiri, masaa yamefika 100,pesa haijarudi,
Nikawapigia tena, wakaniambia nisubiri tena masaa 72 pesa yangu, haijashughulikiwa ,maana yake mpaka tar 1.
Nikawauliza swali, endapo niliemtumia ataitoa,Si nitakosa haki? Wakanijibu niwe mvumilivu,
Sasa,
Naomba mnishauri nataka kuwapeleka kwa mwaka sheria na TCRA nataka wanilipe pesa yangu na nidai fidia,
Naombeni ushauri wenu,nipitie njia gani!