Ninatamani kula wakati wote na huwa napata njaa masaa machache tu baada ya kula, nina tatizo gani?

Ninatamani kula wakati wote na huwa napata njaa masaa machache tu baada ya kula, nina tatizo gani?

dawa: juisi ya papai iliochanganywa na limao mara mbili kwa siku asubuhi na jion kwa siku tatu tu.....rejesha mtejesho baada
 
Minyoo
Mf, nikishakula ugali(Wakushiba kabisa) mchana saa saba mida ya saa kumi kasoro jioni nakua nimeshapata njaa tena.

Nikinywa chai asubuhi saa mbili, saa tano nakua nimeshapata njaa tena.

Pia huwa ninatamani kula kula muda wote

Hii ni shida gani madokta? Na vipi tiba yake?
Maana hali hii sio rafiki kabisa
Bab lai una minyoo ety co kwa ulaji huo
 
Hiyo ni hatari hasa kwa mtoto wa kiume unakua unayaweka malinda yako rehani
 
Sasa kila unachoshauriwa hutaki, kupima kisukari hutaki, uzito hutaki, minyoo hutaki.

Itakuwa nini Sasa, ukute umempa mimba mtoto wa mganga na dalili ziko kwako.
Nishapima vyote hivyo sina hata chembe
 
Kuona kila dalili matatizo ya mleta mada kuwa kwenye ubongo. Hizo ni stress na usipodili nazo zinaleta depression.

Muons daktari wa ubongo (neurologists)
 
Kuona kila dalili matatizo ya mleta mada kuwa kwenye ubongo. Hizo ni stress na usipodili nazo zinaleta depression.

Muons daktari wa ubongo (neurologists)
Dada mbona mimi nina furaha kabisa,
 
Back
Top Bottom