Ninatarajia kusafiri kwenda Kenya, ni vitu gani vya kuzingatia hasa pale mpakani Namanga?

Ninatarajia kusafiri kwenda Kenya, ni vitu gani vya kuzingatia hasa pale mpakani Namanga?

Habari wakuu,

Nina matarajio ya kusafiri kwenda Kenya, naomba kuuliza ni vitu gani vya ku consider hasa hasa pale border namanga, hadi nairobi, nategemea kukaa kwa wiki moja on personal reason nchini kwenya, so here i am asking things to consider?

Jitahidi pia ubebe na Kamusi ili ukawafundishe Kiswahili sanifu, walau kwa hizo siku chache utakazo kaa huko.

Maana hao Wakenya wanapendanga sana Kiswahili. Ila kwa bahati mbaya Kiswahili chenyewe kimegoma kabisa kuwapenda.
 
Pale ni passport na kadi ya manjano. Au kama huna passport watakupatia temporary passport. Na kama huna kadi ya manjano watakuchoma chanjo wakupe kadi ya manjano.

Pia chenjisha kabisa mia mbili za kenya uwe nazo za kutosha kwa ajili ya kuwapooza askari barabarani mana wananjaa sana
temporary bei gan?
 
Naomba ukifika Nairobi tafuta wale vijana walipokuwa wakiimba
"Matak ....... Ya Ruuuuto matak....... Yakoo
"Makende ya Ruto.......makende Yakoo!! "
Nitafutie mmoja hata namba yake Nina maswali yavkumuuliza
 
Kadi ya chanjo ya COVID 19, passport yako ya kusafiria, vilevile hakikisha unakuwa na fedha ya Kenya before you reach there in Nairobi.
Exchange rates ya Nairobi kwa hela ya Tz itakuumiza hivyo ni Bora uwe na fedha za Kenya kabisa before you entered in Nairobi - Kenya
 
Kadi ya homa ya manjano ila kama huna utachanjwa hapo hapo, uwe na Tsh 30,000
 
Mkenya yeyote akionesha kukuzoea mkatae usianzishe urafiki haraka haraka hata Dem hawako Kama sisi wale Ni opportunistic plz zingatia hili
 
Kadi ya homa ya manjano ila kama huna utachanjwa hapo hapo, uwe na Tsh 30,000
Kadi ya homa ya manjano ku foji inawezekana bibie??? Na haya ya covid 19 .....maana sipendi pendi kuchomwa chomwa sindano aseeeee......
 
Back
Top Bottom