Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii


Kwa tunahitaji kujilipua ubalozi wake uko wapi?
 

Nianze wapi ili kufanikisha visa? Msaada pls
 
Vijana ngoja niwaambie

Achaneni na unabaishaji wa kutaka kujua jinsi ya kufika huko au kujilipua kufika europe ,north america au Australian continents

Huko kote kupata visa ya kufika huko ni pesa yako tu
Na use na genuine reasons ya kwenda na kumake assurance that you will return to your home country after the expiration of you visa

Zichange at least kwenye account yako uwe na dollar 10000 apart from

Flight tickets
Medical issurace
Visa fee
And flight iternary

Then bila kuwa na travel history utangoja sana

Anzeni na nchii za Africa ili kupata uzoefu wa safar then to those countries with visa waiver like Singapore,Malaysia hong Kong etc
Na njia rahisi ni kwa kupata scholarship za kwenda huko

Nchi rahisi kupata visa ni Ukraine,Kosovo,Albania,turkey,mexico,Macedonia and those countries from eastern Europe
Ni nchi maskini but in the standard of European case
Kama unae swali niulize
 
Hongera
 
Mkuu nipe hints kidogo za visa ya Mexico
 
Nenda Google utakuta taarifa zote but kwa huo umbali wa kutoka bongo mpaka mexico nauli utachoka mwenywe sio chini ya $1600-2400
Siwezi mshauri mtu kwenda mexico japokuwa sijafika..!

Maana wa mexico wenyewe wanakimbilia nchi zinazohitaji cheap labor, je ukiwa kwao utafanya kazi au biashara? cymon taylor
 
Siwezi mshauri mtu kwenda mexico japokuwa sijafika..!

Maana wa mexico wenyewe wanakimbilia nchi zinazohitaji cheap labor, je ukiwa kwao utafanya kazi au biashara? cymon taylor
Jamaa lengo lake nlishalielewa anataka afike Mexico pale Tijuana border then akomae kuingia USA manually.
 
Juzi tu CANADA wamepiga simu Bank kujua kama kweli nina account pale na ile BS ni ya kwao

Ndio maana kun kitu kinapelekwa kinaitwa Bank Certificate unakiambatisha na BS
Mkuu mbona ni muda tu canada wameban visitors??
 
Jamaa lengo lake nlishalielewa anataka afike Mexico pale Tijuana border then akomae kuingia USA manually.
Kama ni hivyo sawa..! Ila sasa akiingia USA , ana survive vipi bila social security number??
 
Exactly🌎🌎
 
Nimekuelewa, hizo nchi zilizo kidigitali, wanatrace digital footprint, watu usiowajua ni haki kuwa cautious!
Wanangu kila siku nawaambia Hilo, ulimwengu umebadilika, kuona FB, Insta, unamfollow Tu, humjui, ni risk Sana.
 
mabegi bila nauli au sio?
 
ni pm bro tuyajenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…