Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii

Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii

Kubwa sana hiyo. Visa za magumashi mara kibao watu tumeshuka EU kwa $200-300
Msaidie basi jamaa maana Mimi nnakumbuka bro wangu alipata ya shengen alitakiwa kulipa dollars 2000 lakini jamaa baadae hakuchukua hela akataka brother aondoke na mdogo wake ndio malipo yake kwahiyo brother akafanya hivyo huu mwaka karibu wa 10 washachukua na uraia huko walipo
 
Ni kwema wazawa?

Ninasafari ya kwenda either Belgium, German, Holland, Sweden e.t.c yani almost Western Europe huko nina project yangu naipush na ninatakiwa kufika huko niianze from scratch but sina tangible reason ya kuwaconvince pale ubalozini wanipe Visa smoothly.

Kwa hivyo kama kuna agent anahisi anamudu kufanya hii kazi. Anisaidie kwa gharama ya $1000 Kama malipo au kifuta jasho kwake.

Kama pia Kuna mtu anaweza kunitumia invitation letter akiw huko... It's all good! Nae atapata kitita tajwa.

Kiranga Nyani Ngabu hata Canada, USA Kama possible I'm ready to roll.

Don't worry! I'll wait for your Noble response. Nakaribisha ushauri pia. [emoji41]
Apply chuo, timiza mashart yote.utapata visa ya kwenda kusoma. Ukifika ufanye akili yako itakavyokutuma.umakini unahitajika.
 
Dollar elfu moja ni nyingi mkuu unata fake Visa au genuine one

Fake visa to all over EU euro 400
Genuine EU visa euro 3000
Visa yako utatumiwa kwa Dhl unaipokea posta

Nothing is impossible in this fuckng world
 
Dollar elfu moja ni nyingi mkuu unata fake Visa au genuine one

Fake visa to all over EU euro 400
Genuine EU visa euro 3000
Visa yako utatumiwa kwa Dhl unaipokea posta

Nothing is impossible in this fuckng world
Ahahahaha!! Wapi wanatoa hii! Au wale jamaa wa telegram? Ni link nao nione.
 
Daah yaani bado mnasumbuka kwenda ulaya njia rahisi tafuta visa ya Hungary au Nchi yeyote ambayo ina masharti mepesi ukifika huko entry visa ya kwenda sehemu ingine kirahisi ila hii ilikua kabla ya Corona wale wa USA walikua wanaenda Mexico hata hiki kipindi cha Trump kwa wale wanaotaka kujilipua huko Ila kwa mwendaji na kurudi ukiwa na familia bongo USA ukienda kama mchungaji ni njia rahisi ila awepo mtu wa kanisa kule...
 
Back
Top Bottom