Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kubwa sana hiyo. Visa za magumashi mara kibao watu tumeshuka EU kwa $200-300dollar 1000 ndogo sana mtu akufojie documents zote kwa pesa hyo maana akutengenezee hadi financial statements ya bank.
Msaidie basi jamaa maana Mimi nnakumbuka bro wangu alipata ya shengen alitakiwa kulipa dollars 2000 lakini jamaa baadae hakuchukua hela akataka brother aondoke na mdogo wake ndio malipo yake kwahiyo brother akafanya hivyo huu mwaka karibu wa 10 washachukua na uraia huko walipoKubwa sana hiyo. Visa za magumashi mara kibao watu tumeshuka EU kwa $200-300
Apply chuo, timiza mashart yote.utapata visa ya kwenda kusoma. Ukifika ufanye akili yako itakavyokutuma.umakini unahitajika.Ni kwema wazawa?
Ninasafari ya kwenda either Belgium, German, Holland, Sweden e.t.c yani almost Western Europe huko nina project yangu naipush na ninatakiwa kufika huko niianze from scratch but sina tangible reason ya kuwaconvince pale ubalozini wanipe Visa smoothly.
Kwa hivyo kama kuna agent anahisi anamudu kufanya hii kazi. Anisaidie kwa gharama ya $1000 Kama malipo au kifuta jasho kwake.
Kama pia Kuna mtu anaweza kunitumia invitation letter akiw huko... It's all good! Nae atapata kitita tajwa.
Kiranga Nyani Ngabu hata Canada, USA Kama possible I'm ready to roll.
Don't worry! I'll wait for your Noble response. Nakaribisha ushauri pia. [emoji41]
Eti the boss huyo mama visa ya UK anachukua bei gani? Naona wameanza kupunguza masharti ya lockdownKuna mama mmoja dollar 200 Tu anakupa hiyo visa ya Euro.
Shida nae simuamini kabisa.
Anaweza kukupiga akiwa na njaa.
Ahahahaha!! Wapi wanatoa hii! Au wale jamaa wa telegram? Ni link nao nione.Dollar elfu moja ni nyingi mkuu unata fake Visa au genuine one
Fake visa to all over EU euro 400
Genuine EU visa euro 3000
Visa yako utatumiwa kwa Dhl unaipokea posta
Nothing is impossible in this fuckng world