Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
We mwenyewe nafsi ilikusuta juu ya bei hiyo, sh. 25,000,000, na ndio maana ukapata kigugumizi kuweka bei kwenye tangazo. Subiri Mkuu, watakuletea millioni 25.Kwenye tangazo sikuweka bei,nilitegemea muhitaji aingie inbox kwa namba nilizoziweka kwenye tangazo ambazo Ni 0783 477 886,hata hivyo Bei ni Tshs mil 25