Kila kitu Bagamoyo kipo. Hati, majirani wa shamba, mwenyekiti wa mtaa, watoto wanaosemekena na wa mwenye shamba nk. Wote wapo! Lakini ni FEKI!Shamba limepimwa na lina hati mkuu, karibu na uwe huru kwenda kujiridhisha popote kwa uhalali kabla ya malipo kufanyika
Sent using Jamii Forums mobile app
Anyway, unajua huwezi kumjaza mtu imani. Hope wahitaji na waelewa watanielewaKila kitu Bagamoyo kipo. Hati, majirani wa shamba, mwenyekiti wa mtaa, watoto wanaosemekena na wa mwenye shamba nk. Wote wapo! Lakini ni FEKI!
Post sent using JamiiForums mobile app
Picha tafadhaliMkuu nilichosema ni kwamba eneo linafaa kwa kilimo cha nanasi pia, pia siyo kweli umepitishwa maeneo yote panapolimwa nanasi na hujakuta hata sehemu moja haiuzwi kwa kuwa ninawafahamu watu wengi wanaouza maeneo hata yakiwa tiyari yameshaoteshwa nanasi tiyari.
Usijaribu kupotosha umma kwa findings zako za uongo boss
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo maeneo ni hatari sana watu wamepigwa hasa kidomole yote mpaka fukayosemil3????? aisee je vipi kuhusu maji yako karibu au hakuna maji?
na kuhusu hilo shamba halina migogoro yoyote maana unaweza uziwa gunia kavu?
Shambani wakati wa kuweka beacon sehemu zilizopimwa japo chini zipo beacon halisi,
Ni kweli mkuu utapeli upo kila mahali usipokuwa makiniHayo maeneo ni hatari sana watu wamepigwa hasa kidomole yote mpaka fukayose
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungiki wameishaNenda zoom ama kupatana dot com mzee utauza fasta. Hapa ni mambo ya mipasho tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu utapeli haupo bagamoyo pekee, na siyo kwamba bagamoyo hamna mashamba halali ndiyo maana katika suala la kutaka kujiridhisha nipo tiyari kwenda popote Ili uhalali uonekane wazi, iwe polisi ama mahakamani mimi sioni shida kwa kuwa hii ni Mali yangu halali na sijawahi kuuzia mtu yoyote kabla.Duuuh...! Mkuu malyenge, kama shamba linakuwa na hati, majirani, mwenyekiti wa mtaa, watoto wa mwenye shamba, nk na bado ukinunua unapigwa.. je, kuna namna ya kufanya ili kama ukinunua uwe salama, yaani usipigwe?
Ni PM tuongee bei halisi ya kuuza mkuu.Habari wakuu.
Nina shamba langu nauza, lipo bagamoyo kijiji cha fukayosi.
Ni takriban kilomita 18 kutokea bagamoyo mjini mpaka lilipo shamba.
Shamba limepimwa, lina hati, limezungushiwa kingo pande zote na halina mgogoro wowote.
Gari inafika mpaka shamba maana eneo limepangiliwa na barabara zinapitika majira yote.
Ukubwa wa shamba ni hekari mbili.
Shamba halina dalali kwani mimi ndie muuzaji na mmiliki.
Bei ni Shilingi Milioni tatu (3),pungufu tunazungumza.
Tunaweza kuwasiliana kupitia PM Kwa aliye tiyari pia kwa utaratibu wa kuliona shamba na kujiridhisha.
Kwa wahitaji karibuni sana.
Umenikumbusha mbali aise miaka iliyopita ilibaki kidogo nitapeliwe huko bagamoyo ila nashukuru nikaelekea pande za kiwangwa nikafanikiwa kupata napo matapeli wanapatikana pia jambo la msingi ni kuwa makini sana.Hayo maeneo ni hatari sana watu wamepigwa hasa kidomole yote mpaka fukayose
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani Mkuu Hayo mashamba ni yale yaliyochukuliwa na kanisa la KKKT kule fukayosi maana nilifika huko miaka ya nyuma aise ila utapata mteja hakuna tatizo Ndugu.Anyway, unajua huwezi kumjaza mtu imani. Hope wahitaji na waelewa watanielewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwezi august kati ya tarehe 12-15 ntakuwa nina 2 millions nadhan naweza kuktafuta sio?